Xin shan low
Member
- Jun 26, 2025
- 94
- 52
Nimepima hospitali moja wakasema nina malaria 4,wamenipa dawa, kabla sijameza dawa nikaenda hospitali nyingine kuhakikisha wakasema sina malaria,
Nipo njia panda, nimeze dawa au nisimeze?
Ushauri wenu tafadhali
Nipo njia panda, nimeze dawa au nisimeze?
Ushauri wenu tafadhali