jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
Kuna kijana nilimchukua akiwa bado mdogo baada ya wazazi wake kufariki yeye na mdogo wake wakike,(yatima)ni watoto wa ndugu yangu aliyefariki nikawalea toka primary mpaka sec.ambapo sasa wako form four.wote niliwapeleka private school sababu sikupenda wajisikie vibaya sababu watoto wangu tayari walikwisha kuwa watu wazima wanajitegema.
Miaka 3 nyuma kuna binti nilikutana naye akiwa anashida,nikamchukua nikaishi naye ila alikuwa akifanya kazi za ndani na nilikuwa namtunza vizuri hata kwao alikataa kurudi tena.
Jamani week ya pili hii yule binti alianza kuumwa nikampeleka Hosp.kupimwa nikaambiwa Mjamzito..nilivyo muuliza nani kakupa mimba kasema kijana wako(ambaye ni yatima yuko form 4)
Nifanye nini kwa maana nina hasira na huyu mtoto kwa sababu nimewekeza pesa nyingi kumsaidia na ukizingatia hana baba wala mama..huyu binti na yeye yale yale tena bado ni mdogo miaka 18.
Niwafukuze au niwafanyeje?sababu hata watoto wangu mwenyewe mbona hawajawahi kufanya kitu cha namna hii??
Nitawezaje kulea hii familia sababu hakijifungua itakuwaje hapa.sababu ninachokifanya nikama nawasaidia katika maisha yao.
Miaka 3 nyuma kuna binti nilikutana naye akiwa anashida,nikamchukua nikaishi naye ila alikuwa akifanya kazi za ndani na nilikuwa namtunza vizuri hata kwao alikataa kurudi tena.
Jamani week ya pili hii yule binti alianza kuumwa nikampeleka Hosp.kupimwa nikaambiwa Mjamzito..nilivyo muuliza nani kakupa mimba kasema kijana wako(ambaye ni yatima yuko form 4)
Nifanye nini kwa maana nina hasira na huyu mtoto kwa sababu nimewekeza pesa nyingi kumsaidia na ukizingatia hana baba wala mama..huyu binti na yeye yale yale tena bado ni mdogo miaka 18.
Niwafukuze au niwafanyeje?sababu hata watoto wangu mwenyewe mbona hawajawahi kufanya kitu cha namna hii??
Nitawezaje kulea hii familia sababu hakijifungua itakuwaje hapa.sababu ninachokifanya nikama nawasaidia katika maisha yao.