Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 4,174
- 11,494
Kuna kitu kinaitwa 'watani'. Yaani kabila moja kuwa na kabila au makabila mengine na kujulikana kuwa ni 'watani zetu'.
Hiki kitu cha watani ukikichukulia poa unaweza kukosa fursa zilizo ndani yake! Kwa mfano: makabila yanayoitana 'watani' ni rahisi kukubalika katika kuoa/kuolewa hata urahisi wa kujenga urafiki kuliko makabila mengine ambayo hamuhitani 'watani'.
Sasa wajuzi wa mila na desituli hasa hasa za makabila ya kitanzania, hili jambo chimbuko lake ni wapi? Mfano: wahaya wana watani wengi kuliko (labda) makabila yote: watani wao ni: watu wa Musoma (wajaluo, wajita, wakulya), watu wa Kigoma (waha), watu wa Ukerewe (wazinza), watu wa Dodoma (wagogo).
Angalizo: kama uzi huu unakukwaza pitia huku! Karibu
Hiki kitu cha watani ukikichukulia poa unaweza kukosa fursa zilizo ndani yake! Kwa mfano: makabila yanayoitana 'watani' ni rahisi kukubalika katika kuoa/kuolewa hata urahisi wa kujenga urafiki kuliko makabila mengine ambayo hamuhitani 'watani'.
Sasa wajuzi wa mila na desituli hasa hasa za makabila ya kitanzania, hili jambo chimbuko lake ni wapi? Mfano: wahaya wana watani wengi kuliko (labda) makabila yote: watani wao ni: watu wa Musoma (wajaluo, wajita, wakulya), watu wa Kigoma (waha), watu wa Ukerewe (wazinza), watu wa Dodoma (wagogo).
Angalizo: kama uzi huu unakukwaza pitia huku! Karibu