haiwezi kuwa kwa makabila yote, kamwe. Nna mambo mengi ya kufanya bwana, isitoshe am not an academician to spend whole time speculating on more than 120 tribes. I will be crazy!
Wewe na mwanzisha thread ni wamoja?
kuna mtu anataka kuniharibia uwepo wangu humu jf, sielewi lengo lake nini, ila sirudi nyuma, ni mbele kwa mbele. time will tell, na muda si mrefu ataacha ujinga wake. nahis kuna mahali niligusa interest zake, bado sijajua wapi lakini ni suala la muda tu ntajua
green light, go ahead
signature fullstop
kuna mtu anataka kuniharibia uwepo wangu humu jf, sielewi lengo lake nini, ila sirudi nyuma, ni mbele kwa mbele. time will tell, na muda si mrefu ataacha ujinga wake. nahis kuna mahali niligusa interest zake, bado sijajua wapi lakini ni suala la muda tu ntajua
usilete ukabila wewe mamaya za msudu! acha kabisa kwan najua kutakuwa kuna mambo ya kujisifia na kuponda.
CHANGE MADA!