Nipo Moro wadau nataka madili na mishe nazoweza fanya huu mkoa za kunipa hata 10000 kwa siku.
Munipe mishe wadau wa Moro.


yaani we dogo unavopondea wenzio kwenye nyuzi za biashara mpaka huwa nahisi hii ni moja ya laana inayofanya ukose madiliKuna mtu amepita bila kupingwa huko mjini morogoro ,kaombe kazi kwake ana makampuni ya usafirishaji na viwanda piaNipo Moro wadau nataka madili na mishe nazoweza fanya huu mkoa za kunipa hata 10000 kwa siku.
Munipe mishe wadau wa Moro.
Moja ya watu ninao waheshimu na kuwasoma humu ndani ni pamoja na wewe Dada...Una moyo wa kipekee sana wa kutaka wengine wasogee pale walipo!Sivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata
Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara
Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..
Sivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata
Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara
Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..





yaani we dogo unavopondea wenzio kwenye nyuzi za biashara mpaka huwa nahisi hii ni moja ya laana inayofanya ukose madili
Nikupe kazi ya kuchoma viepe pale simu 2000?
Lakini naona mentality yako sio muda utaanza kupiga majungu wafanyakazi wenzako
Naweka salio Mangi.Sivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata
Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara
Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..
😋😀😀 Afu kwanini unaniitaga mangi?.manengelo na mangi mbona tofauti..! Mie sikuamuni Tena as hii itakua dili ya ngapi kukupa😜😜..zote unajipags shaka isiyo na sababu...lols. Nimeona call nitakuchek..fanya uchambuzi yakunifu mishe mob tu kuleNaweka salio Mangi.
Aisee jana tumeshirikiana kugawa dozi leo unanipa dozi mimi kweli urafiki wako sio wakudumu.
Nitakuja buda uko kibandani ila sio kuchoma nitakuja kupata huduma yako muuza chipsi.



huwezi nikuta mimi hapo mkuuKumbe we ushamsomaSivan nikuambie tu kitu kimoja. Hutaona mafanikio Kama utakuwa mtu wa kugusa na kuacha...nadhan unajua( namaanisha )Nini...!
Humu jf katika watu niliowapambania we ni no 1! Lakini husomeki..unakatisha tamaa. Thou sikusimangi)...Ila Bora nikuambie ukweli ..utakusaidia mbeleni ukiamua kuufata
Moro ndugu yangu pagumu...hapana mzunguko wa pesa. ..papo papo tu..Ila ukipata kaupenyo hela ipo ..nadhan pagumu Kwasababu wknd weng wanaenda Dar. ..
Wee sijui unafeli wapi na huku huna majukumu...!wenzako familia zinatufanya turudi nyuma kila mara
Basi nenda huko Mafinga wanakopasua mbao..kajifunze biashara ya mbao..au toa vimbao vyako 100porini kauze hapo mjini kila ubao hukosi 500/- unakwama wapi dogo?...Kule kazi ni nzito..au ..Chukua zaga zaga Kama saa za Bei fulan za Kati perfume za kupima .headphone za Bei rahis .shades nzuri za wakaka na wadada. .boxer nzuri Raba tamu
Acha kung,'ang'ania kuishi mjini...nenda kajitupe huko usome mchezo na usichague kazi. Wenzako mjini tunarudi kupooza akili ! Be you !
Nenda Hadi viwanda vya chai nenda na vitu vzri zuri. Kuna dogo nilinunua kwake saa nikamwambia usiishie mjini nenda huko..mbona ananishukuru daily!( Najua utaniambia sisy nitaendaje huko Mimi Sina mwenyej) ndo shida yako hii had nakosaga la kukujibu ..toka mjini dogo!
Kama utaenda Mafinga nitakusaidia ulale bure for 7dys! I wish utoke kwenye kifungo hicho Cha kukomalia kukaa mjini....
Kubali kupigwa jua..kubali maisha ya dhiki....kubali Hali yoyote..!
Natamani kukufinya sikio uamke!..
Nimeishiwa sms nakuCall haipatikani.😋😀😀 Afu kwanini unaniitaga mangi?.manengelo na mangi mbona tofauti..! Mie sikuamuni Tena as hii itakua dili ya ngapi kukupa😜😜..zote unajipags shaka isiyo na sababu...lols. Nimeona call nitakuchek..fanya uchambuzi yakunifu mishe mob tu kule
Kumbe we ushamsoma
M nshamsoma kitambo sana but anaishiaga kusema m namnanga
Sivan sikiliza ushauri wa dada mkubwa hapa
Sehemu moja wapo ambayo nilitembelea nikaona kuna fursa za nje nje ni mji wa masasi
Nimeishiwa sms nakuCall haipatikani.
Nimeishiwa sms nakuCall haipatikani.
Nimeishiwa sms nakuCall haipatikani.
Nimeishiwa sms nakuCall haipatikani.
Mi sipo masasiWe
Dah...ngoja nisiandike Sana ...Ila dogo habebeki..kinda tired!..mpe mchongo masasi aende mkuu. Mie niliwah mchorea mchori wooote. Akasema sasa Kule Nan atakua mwenyej wangu? Akasema ngoja nijifikirie .later akaja na proposal nyingine nikasupport nilipoweza .haizid mwezi anakuja Tena na proposal nyingine..anakata tamaa Sana hakuna njia rahisu