amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,991
Nimecheka sana maana mimi mwenyewe kimbaumbau ila nlivyoflow na uzi kama bonge vile.
Hapa vimbaumbau watajisifia ni vibonge
Mkuu bonge nyanya wengi ni mizigo kitandani, umembahatisha huyo tu jaribu kwa mwingine utaamini maneno yangu