Mnawezaje kutumia vyoo vya kukaa?

Mnawezaje kutumia vyoo vya kukaa?

Sijui ni ushamba wangu au ni vipi, yaani hivi vyoo vyenye masinki ya kukaa nashindwa kabisa kuvitumia hata ikitokea bahati mbaya nikavitumia nakuwa uncomfortable kabisaa mimi nishazoea hivi vyoo vya kuchuchumaa.. We unapendelea kipi kati ya vyoo vyenye masinki ya kukaa au vyenye masinki ya kuchuchumaa?,
Unachuchumaa pale juu...kwani lalizima ukae???
 
Le mutuz na kitambi chake atachuchumaa vipi?
 
Yoote mmesema inatakiwa usafi basi
sema kwa public ndio shida ila kwa home ni usafi na ndio the best toilet jaman. Asian type ya nini na imeitwa Asian sababu na wao ni watata kwenye mambo yale ya usaf.....
 
Sijui ni ushamba wangu au ni vipi, yaani hivi vyoo vyenye masinki ya kukaa nashindwa kabisa kuvitumia hata ikitokea bahati mbaya nikavitumia nakuwa uncomfortable kabisaa mimi nishazoea hivi vyoo vya kuchuchumaa.. We unapendelea kipi kati ya vyoo vyenye masinki ya kukaa au vyenye masinki ya kuchuchumaa?,
Kuchuchumaa
 
Hata hivyo vyoo vya kukaa kitaalam sio vizur wangi wanapata tatizo la constpations
 
Choo cha kukaa ni kwa ajili ya walemavu, hasa wa viungo,
Ukikuta mtu si mlemavu wa viungo anakitumia ujue ana ulemav wa ubongo
hahaha ni kweli asee, kwanza mm nikikaa siwi comfortable halafu gogo hata nikisukuma linatoka kwa shida sana, so pale hom vipo viwili ndani nachofanya napanda pale juu ya sink najipinda kama choo cha kuchuchumaa [emoji3] [emoji3]
 
Siku hizi vipo vya kulala.
Hivyo vya kulala unajisaidiaje bi mkubwa hela sabuni ya roho kuna wenye mahekalu yao ukionyweshwa choo utafikiri ndio sebule jamaa hajakutana na maihekalu ya maaana huyu kuna mpaka magazeti unajisomea ukimaliza yako unaflash kuna fresh air kweli hela ndio kila kitu
 
Choo cha kukaa ni kwa ajili ya walemavu, hasa wa viungo,
Ukikuta mtu si mlemavu wa viungo anakitumia ujue ana ulemav wa ubongo
JF kuna maajabu......... mweeeh!!
Wengine wamezoea pit latrine, kukaa wanasikia uvivu.
 
Vikiwa vya public vikitumika pamoja na haja ndogo kiafya ni hatari kubwa
 
Aisee nasoma comments mpaka siamini. Hivi kweli choo cha kukaa ni shida hivi?! Tangu napata akili ndio choo nimetumia hadi leo ndio choo naweza kutumia comfortably, hicho cha kuchuchumaa kwa kweli ni adhabu ila nikikuta inabidi nitumie tu.

Kwa sehemu za public inategemea ni wapi. Kuna sehemu toilet ni public lakini ni kisafi balaa kiasi kwamba huoni shida kutumia, ila sehemu nyingine sio salama kutumia hivyo vyoo.

Kabla ya kutumia lazima usafishe sehemu unayokalia kwa tp na maji then ndio unakaa, vile vile kuzuia maji kukurukia unaweka tp kiasi kwenye maji pia hizo tp zinazuia 'usichune kuna za choo'
 
Back
Top Bottom