wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,491
- 29,263
Weka picha wengine bado washamba sisi!!Siku hizi vipo vya kulala.
Weka picha wengine bado washamba sisi!!Siku hizi vipo vya kulala.
Nyumbani kwako?!
hata kama kikiwa cha kukaa mi lazima nichuchumae
hahahahaha hichi choo kiboko na hivyi hamna bomba la maji hapo utakuta pananuka balaaaSory mkuu wewe niwa mkoani eee!!!any way binafsi watu tunatofautiana!!kama mimi cha kuchuchumaa sikipendi hadi nimeweka kwangu natumia hikiView attachment 429084[emoji86] [emoji86]
Hata hakinuki mkuu sii unaona kuna mfuniko??hahahahaha hichi choo kiboko na hivyi hamna bomba la maji hapo utakuta pananuka balaaa
hata ukichuchumaa unakuwa haujarelax yaan unahis kudondoka dondoka tuChoo cha kukaa ni kizuri ila kikiwa ni cha public sio salama kutumia tena nakumbuka chuoni Ndo vilikuwepo tunapanda kwa juu unachuchumaa maana kila mtu anakaa hapo hapo maji yanakurukia yaan tatami tu
Sio rest roomsKwangu hakuna vyoo kuna washrooms.
Kuna mwenzetu alidondoka akaumia mguu vibaya sana inatakiwa uwe makini maana vinateleza ikabidi tukienda class unamaliza haja zako huko ukirud hostel ni kuoga tu ilikuwa changamoto kwa kweli.hata ukichuchumaa unakuwa haujarelax yaan unahis kudondoka dondoka tu
Weka picha wengine bado washamba sisi!!
hii habari ungeiongezea nyama kwa kuweka picha mbili tatu ili iwe rahisi kuichangia mkuu!sijui ni ushamba wangu au ni vipi yaan hivi vyoo vyenye masink ya kukaa nashindwa kabisa kuvitumia hata ikitokea bahat mbaya nikavitumia nakuwa uncomfortable kabisaa mimi nishazoea hivi vyoo vya kuchuchumaa.. we unapendelea kipi kati ya vyoo vyenye masink ya kukaa au vyenye masink ya kuchuchumaa?,
Hata mimi sielewi unnawezaje kuchuchumaa na kukata gogo comfortably!sijui ni ushamba wangu au ni vipi yaan hivi vyoo vyenye masink ya kukaa nashindwa kabisa kuvitumia hata ikitokea bahat mbaya nikavitumia nakuwa uncomfortable kabisaa mimi nishazoea hivi vyoo vya kuchuchumaa.. we unapendelea kipi kati ya vyoo vyenye masink ya kukaa au vyenye masink ya kuchuchumaa?,
kimbao mbao tu mkuu ila siwezi kuacha asiliDu mkuu lazima utakua na umbile kubwa sana vinginevyo uwez kuchuchumaa utakikalia tu.
Vyovyote tuuHapo umemjibu, umemuuliza, umemsifia au umetoa lako la rohoni?
Siku hizi vipo vya kulala.