YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
sijui ni ushamba wangu au ni vipi yaan hivi vyoo vyenye masink ya kukaa nashindwa kabisa kuvitumia hata ikitokea bahat mbaya nikavitumia nakuwa uncomfortable kabisaa mimi nishazoea hivi vyoo vya kuchuchumaa.. we unapendelea kipi kati ya vyoo vyenye masink ya kukaa au vyenye masink ya kuchuchumaa?,
Dunia ya sasa choo cha kukaa ndio murua.Sabbabu waweza endelea na kazi huku ukijisaidia.Ona huyu wakili akipitia makabrasha yake chap chap kwa mara ya mwisho kabla ya kuingia kizimbani kutetea mteja wake