RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,910
- 130,016
Gross.mimi huwa nakojoa chini siku zote
Gross.mimi huwa nakojoa chini siku zote
tena mlangoni yaani naipenda papuchi yangu sanaGross.
Sijui wazoefu wanajizuia vipiUkishusha mzigo maji yanakurukia wewe swaaaafi kabisa.
Inabidi ushitakiwe kwa kuchafua bahari yetu na kuhatarisha maisha ya samaki wetu.*Huku kwetu vijijini unakwenda kiungani na jembe unachimba shimo unajisaidia halafu unafukia.
*Au unakwenda ufukweni bahari maji yame kupwa unajisaidia fresh mpaka maji yakijaa yana safisha kesho unapakuta pako safi tu unaendelea tena.
*Kwa sisi wavuvi usiku baharini unajisadia vitu vinadondokea ndani ya bahari na kama ni mchana unajisaidia ndani ya kopo halafu unamwaga baharini.
Toa ushahidiChoo cha kukaa ni kwa ajili ya walemavu, hasa wa viungo,
Ukikuta mtu si mlemavu wa viungo anakitumia ujue ana ulemav wa ubongo