mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Kama nina akili za Samaki nashukuru ila jibu swali PUNDA HAPANDI MUSCAT na punguza munkari, madharau na matusi hivyo Visiwa sio vya Waarabu wa Oman (Bara Arabia)
Sharti waliloliacha ni marufuku kwa watoto hao Haramu kwenda Arabuni
- Vijana wa kiarabu waliotoka Yemen na Oman walikuja huku wakati wa Biashara ya Utumwa au likizo ya mfungo walitembea na madada zetu waliokuwa katika Utumwa ambao hawakusafirishwa kwenda Arabuni kwani walikataliwa na kituo kikubwa kikawa Pemba. (ndio asili ya Wapemba ni wajomba zetu)
Nakufahamisha kuwa Mwingireza alikitawala kisiwa hicho, na katika ya Historia Zanzibar (Unguja) ndio iliyokung'utwa kwa dakika 10 tu yaani Mzinga mmoja uliotuwa Bet el Sheba tu Sultani akasalim amri kutawaliwa.
- Watumwa Wanaume walihasiwa waliofika Bara Arabia na kufia huko baada ya kuzeeka tofauti na wale Waafrika wa Magharibi walioenda Bara Amerika
kwa vile ni msomi wa Chuo ingia Wikipedia au Google tafuta History of Zanzibar
Sasa hivi tunadanganyana na tumechoka Kichukueni Kisiwa chenu mmeshakuwa, Muungano hatuutaki tena na hata huko Mahakamani km mnampa Farid sawa tu msiwasahau kina Bakhresa, Vuai na wengine wao huku Kondoa, Mwailanje, Dodoma Manyoni hata Tabora msiwaache waje wafaidi maana huku ni wavivu na gahawa tu hatuwataki
Nakutajia viongozi wa UAMSHO maana inawezekana akili yako imeharibika kwa kuvimbiwa KITI MOTO au wajitia wazimu wa makusudi
1- Sheik Msellem Ally (Mweusi) Amiri (Kiongozi) mkuu wa UMSHO mtu wa Donge Unguja
2- Sheikh Azzan (Mwekundu) naibu Amiri UAMSHO, Mtu wa Mfenesini Unguja
3- Sheikh Farid (Mwekundu) Amiri JUMAZA, Mtu wa Pemba
4- Sheikh Suleiman Haji (Mweusi) Muhadhiri, amechanganya upande mmoja anatoka Tanganyika
5- Sheikh Mussa Juma (Mweusi) Muhadhiri, Mtu wa Donge Unguja
Ukiwatoa hao wawili waliobakia wote weusi, sasa unaposema UAMSHO ni waarabu au Wapemba mimi nashindwa kukuelewa!
Mwekundu ndiyo muarabu koko??
mwekundu?
uamsho dawa yao ni atokee kiongozi mwengine kama komandoo!hayo ni maaneno aliyokuwa akiyatamka sheikh faridi wa uamsho kuhamasisha wafuasi wake,,,nao wakajibu hatuutaki..pia watanganyika tumeshauriwa ni heri tujiunge na kenya!!!
Source:itv-habari ya saa 2
mwekundu?
uamsho dawa yao ni atokee kiongozi mwengine kama komandoo!
Mimi binafsi nasoma Chuo ambacho kipo senti mita chache kutoka katika Mahakama na siku hiyo nilikwuwepo Mahakamani na tulikua na wanafunzi wenzangu wasiopungua 70, ukitoa sisi wanafunzi na wale waliokuja kusikiliza kesi kuna na watu wengine waliopaza sauti zao na kusema "HATUUUTAKIIII" ambao hata huwezi kuwafikiriaa.!!
chuo gani madrasa?
Upo juzuu ya ngapi vile maalim?
Mie niliishia arif.. Nikaone ngoja ntafute elimu dunia
Dhamb ya ubaguz itaimaliza zanzibar!#fact waamue wanayotaka#ila watakumbuka siku moja! Tanganyika tuna kila kitu wao hawana !