mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Kama nina akili za Samaki nashukuru ila jibu swali PUNDA HAPANDI MUSCAT na punguza munkari, madharau na matusi hivyo Visiwa sio vya Waarabu wa Oman (Bara Arabia)
Sharti waliloliacha ni marufuku kwa watoto hao Haramu kwenda Arabuni
- Vijana wa kiarabu waliotoka Yemen na Oman walikuja huku wakati wa Biashara ya Utumwa au likizo ya mfungo walitembea na madada zetu waliokuwa katika Utumwa ambao hawakusafirishwa kwenda Arabuni kwani walikataliwa na kituo kikubwa kikawa Pemba. (ndio asili ya Wapemba ni wajomba zetu)
Nakufahamisha kuwa Mwingireza alikitawala kisiwa hicho, na katika ya Historia Zanzibar (Unguja) ndio iliyokung'utwa kwa dakika 10 tu yaani Mzinga mmoja uliotuwa Bet el Sheba tu Sultani akasalim amri kutawaliwa.
- Watumwa Wanaume walihasiwa waliofika Bara Arabia na kufia huko baada ya kuzeeka tofauti na wale Waafrika wa Magharibi walioenda Bara Amerika
kwa vile ni msomi wa Chuo ingia Wikipedia au Google tafuta History of Zanzibar
Sasa hivi tunadanganyana na tumechoka Kichukueni Kisiwa chenu mmeshakuwa, Muungano hatuutaki tena na hata huko Mahakamani km mnampa Farid sawa tu msiwasahau kina Bakhresa, Vuai na wengine wao huku Kondoa, Mwailanje, Dodoma Manyoni hata Tabora msiwaache waje wafaidi maana huku ni wavivu na gahawa tu hatuwataki
Ningetamani sana kupata references juu ya maelezo yako lakini kama kawaida yenu WATANGANYIKA umenip kasumba mulizozoea kulishwa na watawala wenu siku nyingi! Nakuomba ukipata muda njoo Zanzibar nitakupeleka maeneo ya historia utajifunza mambo na kuujua UKWELI usitegemee sana mitandao sababu hua wanaweka mambo kwa maslahi yao. Kuhusu PUNDA HAPANDI MASCAT sijawahi kusikia wala sijui maana yake, hiyo ni misemo ya huko huku HATUITAMBUI! Zaidi nitafute fullshangwe@gmail.com