JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Unaijua story ya Ulimboka
Mbona hakukuwa na mafanikio?
Some hitmen are incompetent...so to say
..wakati mwingine mtu anasalimika kwa bahati yake tu.
..Fidel Castro ali'survive 7 assasination attempts za CIA.
..kuna watu wamesalimika kwenye ajali za ndege, wakati inaaminika ndege ikianguka hakuna anayesalimika.
..na ukiangalia tukio la Lissu utaona kwamba his chances of surviving zilikuwa ndogo sana sana, lakini baada ya operations 20+ amesalimika.