TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,786
- 21,329
Kwa nini wanawake mnadai haki na usawa wa kijinsia huku mnashindwa kuonyesha umoja kwenye njia mnayoipitia katika kudai usawa na ile nadhalia ya kutaka kupewa nafasi kwenye mabalaza ya maamuzi?
👉 Wanawake wanadai usawa kwenye kila jambo wanaloona wameachwa nyuma, tuzungumzie siasa na uongozi, taasisi na mikusanyiko ya kila aina inayokaa ili kudai nafasi kwenye siasa inafanyika kila siku.
Bahati mbaya au nzuri ni kwamba kupitia sehemu hiyo wao wenyewe wanashindwa kujua hawana ubavu kupata usawa au kuingia kwenye nafasi kubwa pasipo upendeleo au kusukumwa.
Queen Cuthbert Sendiga ni mgombea urais kupitia chama cha alliance for democratic ni mwanamke pekee kati ya wagombea wote wa nafasi ya urais, lakini mpaka sasa hakuna sehemu yoyote inayopiga kelele kama si kampeni kumnadi mama huyu.
Kwa nini tunasema haki wanayodai wanawake siyo ile ya kutoka moyoni, picha tunayoiona kupitia mgombea huyu ndiyo ukweli halisi wa tabia za jinsia hii pendwa.
Nilidhani kupitia mama huyu basi wanawake kama siyo wote wangeonyesha umoja angalau tushangae na kusema kitu, ila mpaka hapa wamekwama.
Mgombea mwenyewe alishasema kama siyo kulalamika kuwa "Wanawake hawana umoja" sasa haifahamiki kama tatizo ni chama au ni nini?
Karibu kwa mjadala.
👉 Wanawake wanadai usawa kwenye kila jambo wanaloona wameachwa nyuma, tuzungumzie siasa na uongozi, taasisi na mikusanyiko ya kila aina inayokaa ili kudai nafasi kwenye siasa inafanyika kila siku.
Bahati mbaya au nzuri ni kwamba kupitia sehemu hiyo wao wenyewe wanashindwa kujua hawana ubavu kupata usawa au kuingia kwenye nafasi kubwa pasipo upendeleo au kusukumwa.
Queen Cuthbert Sendiga ni mgombea urais kupitia chama cha alliance for democratic ni mwanamke pekee kati ya wagombea wote wa nafasi ya urais, lakini mpaka sasa hakuna sehemu yoyote inayopiga kelele kama si kampeni kumnadi mama huyu.
Kwa nini tunasema haki wanayodai wanawake siyo ile ya kutoka moyoni, picha tunayoiona kupitia mgombea huyu ndiyo ukweli halisi wa tabia za jinsia hii pendwa.
Nilidhani kupitia mama huyu basi wanawake kama siyo wote wangeonyesha umoja angalau tushangae na kusema kitu, ila mpaka hapa wamekwama.
Mgombea mwenyewe alishasema kama siyo kulalamika kuwa "Wanawake hawana umoja" sasa haifahamiki kama tatizo ni chama au ni nini?
Karibu kwa mjadala.