Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,376
- 12,583
Mkali wa 3some na una duka la vipuli!Mkali wa threesome nipo hapa na Sina huo ujinga wenu uoga wa kishamba
Upo vzuri.
Mkali wa 3some na una duka la vipuli!Mkali wa threesome nipo hapa na Sina huo ujinga wenu uoga wa kishamba
Mimi ndio wimbo wangu nawachana wana daily if you be happy go for the best or among the best, ni ujinga unatumia bar na mademu lodge laki8 hadi milioni kadhaa unakuwa bahili mafuta ya laki2,3 ni ujinga.Mjomba mimi sina gali lakini nakazia hilo swala ama hii mada kuna wanangu nawaona sana lakin katika viwanz wanaluka sana kuliko maelzo lakin unakuta anagali la kaawaida kabisa ambazo bata anazozitimia na hilo gal la kiaina ni saw angenunua gali yenye muonekano mzuli sana na lenye uimala uliobola zaid ya alilonalo
Cruise Auto wewe.Mimi ni agent na mmiliki wa Duka Dodoma zunguka utafika ofisini kwangu na Nina tawi Arusha pia any type of car spares unapata
Mkuu unalazimisha vipaumbele kwa wenzio, maana hili povu si mchezo............unaongelea watu wamiliki gari kali kana kwamba ni hitaji muhimu kwa maisha ya kila binadamu, punguza ushamba.Mimi ndio wimbo wangu nawachana wana daily if you be happy go for the best or among the best, ni ujinga unatumia bar na mademu lodge laki8 hadi milioni kadhaa unakuwa bahili mafuta ya laki2,3 ni ujinga.
Acheni uoga na ushamba eti ooh kama gari wamenunua wachache haifai acheni ushamba, Nairobi Kenya is 50 yrs ahead of foolish tanzanian people
Utakuwa na govi wewe sio bure, sio kwa mkurupuko huo
Hao wa kubadili canter kuwa matatu shenzi kabisa Kenya hakuna walichotuzidi pesa yako iko juu ila wanamaisha magumu kuliko mavi yanguAcheni uoga na ushamba eti ooh kama gari wamenunua wachache haifai acheni ushamba, Nairobi Kenya is 50 yrs ahead of foolish tanzanian people
Wewe unateseka na nini wakati maisha ni yao?Wasalaam JF,
Kuna hii kasumba ya Kiafrika na kitanzania watu wanaogopa kununua magari mazuri kisa tu et bei ya spares, spare availability, na ulaji wa mafuta. Ujinga mtupu , wakati matumizi yenu ya kuruka vianja bar na kufanya ngono kwenye guest/lodges ni makubwa kuliko hofu zenu za kijima.
Huwezi kufanya makubwa na kusonga mbele ukiwa na hofu za kishamba.
Nunua gari ukiwa na akili timamu tena uwe rational na logical decisions, stupid mindsets za comparison mentality zita waangamiza.
Panua akili kwenye kila eneo.
Akili zako ndio ramani yako ya maisha.
Shukrani
Wadiz
Mkuu umepatwa na nini? Hizi stress hizi, sasa unalalamika nini wakati maisha ni yao? Mwingine leo kaandika eti watu wa Dar hawapendi wageni, aliyeandika na wewe wote mko sawaMkali wa threesome nipo hapa na Sina huo ujinga wenu uoga wa kishamba
Wewe nenda kajifunze kuandika kiswahili vizuri then ndiyo uje kutoa ushauri humu.Mjomba mimi sina gali lakini nakazia hilo swala ama hii mada kuna wanangu nawaona sana lakin katika viwanz wanaluka sana kuliko maelzo lakin unakuta anagali la kaawaida kabisa ambazo bata anazozitimia na hilo gal la kiaina ni saw angenunua gali yenye muonekano mzuli sana na lenye uimala uliobola zaid ya alilonalo