Mnasema wanaume ni "never mind"? Hapana, Wanawake wana msaada sana

Mnasema wanaume ni "never mind"? Hapana, Wanawake wana msaada sana

Wengi Ke huwa wanataka vitu vya luxury na Me hua wanaona sawa tu wanawapa hivyohivyo, lakini wote wngekua wanajiongeza wangweza fanya mambo yenye faida na kuendelea
Hivyo na weye wataka uwe unajiongeza eeee?

Kama unayo mengi nipe na mie hayo mahela niyazungushe huku Uchagani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
 
Naamini hata kama anapewa mawazo kama haya au mengine atachanganya na zake dada, nina imani atayachukua mawazo hayo akaja akayafanyia kazi kwako, atakua kapata mawazo mabaya kayapeleka pazuri, kuna shida hapo Madame...Ni kama nyie huko mnavyokutana na vishawishi vya kila aina kwani ni lazima kuvikubali, relax sis
Unavyomkingia kifua huyo mtu nakosa cha kusema kwa kweli yan hata upande wangu haupo kabisa
 
Hivyo na weye wataka uwe unajiongeza eeee?

Kama unayo mengi nipe na mie hayo mahela niyazungushe huku Uchagani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
Hahahahaa mi na weye Hajar, shaka ondoa, hilo umepata sema kingine
 
Unavyomkingia kifua huyo mtu nakosa cha kusema kwa kweli yan hata upande wangu haupo kabisa
Wala simkingii kifua dada ila nataka mdumu hivyohivyo hadi mpate wapwa zangu maana ukisikiliza sana hutu tumaneno twa mtaani hutu na kufatilia kaongea na nani au kapewa ushauri gani naogopa safari yenu itakua fupi sana au ikiwa ndefu itakua na makorongo, miiba, matetemeko, mafuriko na mashaka mengine kibao
 
Wala simkingii kifua dada ila nataka mdumu hivyohivyo hadi mpate wapwa zangu maana ukisikiliza sana hutu tumaneno twa mtaani hutu na kufatilia kaongea na nani au kapewa ushauri gani naogopa safari yenu itakua fupi sana au ikiwa ndefu itakua na makorongo, miiba, matetemeko, mafuriko na mashaka mengine kibao
Hahaha kaka amyn kwa uwezo wa Allah tutadumu kaka angu maneno n sumu hayafai kuyapa umakini
 
Y
Duuh! Haya kama mnazo pesa Mfanyage tu japokuwa naiona haina tofauti na kutia mkono kizani hiyoo.

Japokuwa kwa mbaali nawaza ni Ke wangapi ambao wana akili za kuomba kufunguliwa biashara au hata kuwa na mawazo hayo hasa wakiwa na Me wenye kuwapa pesa ya maana zaidi ya kufanya mambo ya kujionyesha onyesha ikiwemo kuvaa na vitu vingine visivyo na faida.

Upo sawa... labda Mke, mama na dada zake (ingawa wengi wao ni ndugu anaowakataa).
oh
 
Hahaha kaka amyn kwa uwezo wa Allah tutadumu kaka angu maneno n sumu hayafai kuyapa umakini
Ilikua nimalizie maneno yangu kwa dua hiyo uliosoma wewe hapo juu dada sema kuna kazi ilikua imenitinga hapa nikaghafilika , naomba unisamehe... Inshaallah mtadumu dada na mimi ndio maana napenda vitu vingine uviweke pembeni sababu havisaidii kujenga, wewe waona nampendelea shemeji yangu😀😀😀. Mapenzi yenu yatadumu dad sina shaka na hilo
 
Ilikua nimalizie maneno yangu kwa dua hiyo uliosoma wewe hapo juu dada sema kuna kazi ilikua imenitinga hapa nikaghafilika , naomba unisamehe... Inshaallah mtadumu dada na mimi ndio maana napenda vitu vingine uviweke pembeni sababu havisaidii kujenga, wewe waona nampendelea shemeji yangu😀😀😀. Mapenzi yenu yatadumu dad sina shaka na hilo
wewe unampendelea sana shemejio ngoja nimpeleke kichalikani digo na yeye akale ngisi mue pamoja hahaha
 
wewe unampendelea sana shemejio ngoja nimpeleke kichalikani digo na yeye akale ngisi mue pamoja hahaha
Umtembeze koote halafu urudi nae hadi Pangani mvuke akapaone Kipumbwi na Sakura....hivi wajua historia ya sehemu hizo dada?
 
Umtembeze koote halafu urudi nae hadi Pangani mvuke akapaone Kipumbwi na Sakura....hivi wajua historia ya sehemu hizo dada?
Hapana kaka, sifaham zaidi me nilikua naenda tu pangani kuna kiwanda cha kuchakata kamba za ndifu za nazi sjui umenielewa?? Yale makumbi yanachakatwa na kutoa kamba kama sisal wanavofanya nikazunguka zunguka kidogo nikarud zang mjini

Archduke ntakupeleka kote tutafika had kwa wagiriyama
 
Hapana kaka, sifaham zaidi me nilikua naenda tu pangani kuna kiwanda cha kuchakata kamba za ndifu za nazi sjui umenielewa?? Yale makumbi yanachakatwa na kutoa kamba kama sisal wanavofanya nikazunguka zunguka kidogo nikarud zang mjini

Archduke ntakupeleka kote tutafika had kwa wagiriyama
aiseeee
 
Hapana kaka, sifaham zaidi me nilikua naenda tu pangani kuna kiwanda cha kuchakata kamba za ndifu za nazi sjui umenielewa?? Yale makumbi yanachakatwa na kutoa kamba kama sisal wanavofanya nikazunguka zunguka kidogo nikarud zang mjini

Archduke ntakupeleka kote tutafika had kwa wagiriyama
Kipumbwi na Sakura ndio walipokua wakikusanywa na kisha kusafirishwa hadi Zanzibar askari/mgambo waliokwenda fanya mapinduzi, kuna kitabu kinaitwa Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru ni kizuri sana kinaelezea yote hayo

Wagiriya wanavyoongea lugha yao tamu sana, utapenda waendelee kuongea tu saa zote
 
Kipumbwi na Sakura ndio walipokua wakikusanywa na kisha kusafirishwa hadi Zanzibar askari/mgambo waliokwenda fanya mapinduzi, kuna kitabu kinaitwa Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru ni kizuri sana kinaelezea yote hayo

Wagiriya wanavyoongea lugha yao tamu sana, utapenda waendelee kuongea tu saa zote
hao watumwa??? No wonder had leo watu wanasafiri na majahaz kutokea kipumbwi mpaka mkokoton unguja niliwah kujarib mara moja niliapa sitarudia ule ujinga kaka ni risk sana
 
Back
Top Bottom