Mnara wa Babeli unaanguka

Mnara wa Babeli unaanguka

1.Ukipita kwenye magroup ya wanavyuo yamepamba moto.
2.Ukipita kwenye magroup ya wafanyakazi kimewaka
3. Ukipita kwenye magroup ya kijani kupo jiii kumepoa kama kiporo cha uji
4. Ukipita magroup ya upinzani, kimesanuka
5. Ukipita magroup ya wafanyabiashara, ni motoo
6. Ukipita magroup ya kitaa, hali ni tete.

Kuna kila dalili mnara wa babeli unaanguka uchaguzi huu.

Amka ndugu kwenye ndoto nzito unayoota.
Kwa Mipango gani mliyonayo CDM kuiangusha CCM?
Kutukana Mitandaoni huko Twitter?
Matusi Majukwaani badala ya kunadi sera na Ilani ya Chama chenu?
Amka kumekucha wewe acha kuota ndoto zako za Kimweri na Alinacha.
 
Kanda ya ziwa hakuna maajabu yaliyotokea kuzidi ya Lowasa aliepita, lakini mwisho wa siku mlikalia msumali wa moto wa gesi.
Lisu sio Lowasa aliyekubali kuibiwa,ccm Mara ya mwisho ilishinda 2010.
Lowasa alienda upinzani kwa maslai ya ccm
 
Endeleeni kuota tu. Ni haki yote kuota, hatuwezi kuwazuia
Mpaka sasa bado wanaota Ikulu? Duh ! Nikamsikia mtoto mmoja akisema labda wanaota ikulu ya Malawi ! Hii ya TZ wasubir matokeo! Kama walitishia kuchukua Nchi bac ilikua 2015 sio 2020. Yetu macho na masikio ! Jiwe litaibuka mshindi kama lilivyo Imara.
 
1.Ukipita kwenye magroup ya wanavyuo yamepamba moto.
2.Ukipita kwenye magroup ya wafanyakazi kimewaka
3. Ukipita kwenye magroup ya kijani kupo jiii kumepoa kama kiporo cha uji
4. Ukipita magroup ya upinzani, kimesanuka
5. Ukipita magroup ya wafanyabiashara, ni motoo
6. Ukipita magroup ya kitaa, hali ni tete.

Kuna kila dalili mnara wa babeli unaanguka uchaguzi huu.
Jidanganye na ufinyu wako wa mawazo
 
mwalimu dunia alinifunza kutozalau mawazo ya mtu ata kama finyu vipi ndo maana katoa. Ila kikubwa alinisii niulize ushahidi juu ya mawazo husika ili kua na uwakika katika kuwasilisha mada. Asante Erik jame wa shigongo, alisema "find correct and current information to learn" kwanini tusitumee hapa hayo maneno kaka kazi kwako japo Mimi sio mwanasiasa 😂😂😂​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom