Mnapozuia mifumo tusipate taarifa, mnamlinda nani?

Mnapozuia mifumo tusipate taarifa, mnamlinda nani?

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Kukitokea kashfa ya kweli maana ni kweli sio makusudi mnacho kifanya.

Ilitokea risiti ya TRA ya abdul karibia mabilioni ya manunuzi ,watu walipo tangaza tu mkafunga mfumo wa kujua utambuzi TIN na malipo ya muhusika.

Na mpaka bungeni mshawahi kufanya hivyo.

Sasa hivi mumefanya kila sehemu ambayo uwezi kujua plate number ya gari,Bima jina lake,ardhi usajili,kampuni na n.k.

Kwa kashfa za viongozi kupata taarifa ndio mnaona mnawalinda.
 
Kukitokea kashfa ya kweli maana ni kweli sio makusudi mnacho kifanya.

Ilitokea risiti ya TRA ya abdul karibia mabilioni ya manunuzi ,watu walipo tangaza tu mkafunga mfumo wa kujua utambuzi TIN na malipo ya muhusika.

Na mpaka bungeni mshawahi kufanya hivyo.

Sasa hivi mumefanya kila sehemu ambayo uwezi kujua plate number ya gari,Bima jina lake,ardhi usajili,kampuni na n.k.

Kwa kashfa za viongozi kupata taarifa ndio mnaona mnawalinda.
Ni wakati wao kuenjoy lakini yana mwisho.
 
Tumetoka huko comrade!

Badala ya kujenga taifa Sasa tunajenga majina ya watu na uchumi binafsi!

Kama taifa tupo tayari kupata hasara ili kulinda status za mwanasiasa mkubwa au kikundi Fulani Cha watu hata kama taifa linapata hasara!!

Hii inatokana na kuwekeza mapesa mengi kwennye siasa kuliko weledi !!

Leo vijana wanaumia kwenye kazi maalum nyeti za kitaifa Kwa ujira mwiha ambao mbunge anaupata Kwa vikao vitatu kama possho ya kikao!lakini mtumishi anafanya KAZI Kwa wiki tatu Hadi mwezi mzima Kwa ujira kidogo Tena kazi kubwa nyeti yenye kuamua hatma ya taifa hili!!

Diaspointed kato!!
 
Uwe unatumia hata one week kupandisha Uzi na sio kwa siku unaweka nyuzi 10 na zote ni pumba tupu.
 
Tumetoka huko comrade!

Badala ya kujenga taifa Sasa tunajenga majina ya watu na uchumi binafsi!

Kama taifa tupo tayari kupata hasara ili kulinda status za mwanasiasa mkubwa au kikundi Fulani Cha watu hata kama taifa linapata hasara!!

Hii inatokana na kuwekeza mapesa mengi kwennye siasa kuliko weledi !!

Leo vijana wanaumia kwenye kazi maalum nyeti za kitaifa Kwa ujira mwiha ambao mbunge anaupata Kwa vikao vitatu kama possho ya kikao!lakini mtumishi anafanya KAZI Kwa wiki tatu Hadi mwezi mzima Kwa ujira kidogo Tena kazi kubwa nyeti yenye kuamua hatma ya taifa hili!!

Diaspointed kato!!
Wasioshiriki kazi maalum nyeti za kitaifa ni wengi kuliko wanaoshiriki, kwahio wanaoshiriki wanakula keki ya taifa waache kulalamika.
 
Tumetoka huko comrade!

Badala ya kujenga taifa Sasa tunajenga majina ya watu na uchumi binafsi!

Kama taifa tupo tayari kupata hasara ili kulinda status za mwanasiasa mkubwa au kikundi Fulani Cha watu hata kama taifa linapata hasara!!

Hii inatokana na kuwekeza mapesa mengi kwennye siasa kuliko weledi !!

Leo vijana wanaumia kwenye kazi maalum nyeti za kitaifa Kwa ujira mwiha ambao mbunge anaupata Kwa vikao vitatu kama possho ya kikao!lakini mtumishi anafanya KAZI Kwa wiki tatu Hadi mwezi mzima Kwa ujira kidogo Tena kazi kubwa nyeti yenye kuamua hatma ya taifa hili!!

Diaspointed kato!!
Sikupingi kwenye maoni ya kuwa pesa nyingi zaidi imewekezwa kwenye siasa
 
Serikali inaendeshwa na mihemko.... watu walipiga picha mwendokasi kumejaa kupita kiasi... wanapiga marufuku kupiga picha
 
Tumetoka huko comrade!

Badala ya kujenga taifa Sasa tunajenga majina ya watu na uchumi binafsi!

Kama taifa tupo tayari kupata hasara ili kulinda status za mwanasiasa mkubwa au kikundi Fulani Cha watu hata kama taifa linapata hasara!!

Hii inatokana na kuwekeza mapesa mengi kwennye siasa kuliko weledi !!

Leo vijana wanaumia kwenye kazi maalum nyeti za kitaifa Kwa ujira mwiha ambao mbunge anaupata Kwa vikao vitatu kama possho ya kikao!lakini mtumishi anafanya KAZI Kwa wiki tatu Hadi mwezi mzima Kwa ujira kidogo Tena kazi kubwa nyeti yenye kuamua hatma ya taifa hili!!

Diaspointed kato!!
Kuna mwananchi Na Raia, kuwa mwananchi Ni Bata,omba usiwe Raia🥺🥺
 
we hushangai

Seeikali ilipiga marufuku kuwa na picha za mauaji ya dec 29

Lakin imeunda tume tupeleke ushahid wa picha na video za mauaji ya dec29 hahaha

Sasatunapelekaje wakati tuliambiwa tufute huo ushahidi

Hii ndio serikali yangu
 
Tz inabidi tunyukane siku moja ili wanasiasa waheshimu katiba na raia wao.
 
Tatizo mnadeal na mtu na sio mfumo,

Yaani mnaonyesha chuki kwa flani na kwa mwengine mnafurahia

Msichukie mtu chukieni mfumo
 
mafisadi yanamtandao mrefu na yanalindana
ukitaka kuyaaribia yanakuua

kmanina zao popote pale yalipo na yajue ipo siku yatakufa tu yatakua mizoga na vitu yataviacha
 
Uwe unatumia hata one week kupandisha Uzi na sio kwa siku unaweka nyuzi 10 na zote ni pumba tupu.
Screenshot_20251229-161358.png
 
Back
Top Bottom