Mnaotumia windows 11, tupeni ushauri watumiaji wa windows 10, tuhamie huko au tubaki ?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Ni mwaka wa sita huu natumia windows 10, najikuta kwenye mazingira ya kushawishika kuweka windows 11 maana ndio windows toleo jipya zaidi, ila nimeona kwanza nipate ushauri wenu mnaotumia ama mliowahi kutumia windows 11.

Kuna mambo gani tunayakosa watumiaji wa windows 10 ?

mipangilio, muonekano na matumizi ni rafiki kwetu wageni ?

Kama uliwahi kutumia windows 11 na ukarudi windows 10 ama unatumia windows 11 ila unatamani kurudi 10, ni kwanini ?
 
Mi kilochonikela kama walibadilisha, drag and drop ilikua haina at the moment, nkaona ufala huu.
 
Naskia nayo right click ina muonekano tofauti ?
Mpaka nisha sahau mkuu, kipindi imetoka mwezi huo huo nili ipata, nkatumia ka mwezi hivi, nkatemana nayo, af mi hutumia windows lite version, na at the moment skupata lite version yake, so sjawai irudia tena na sintarudi.

Na baadhi ya apps zangu nili instore zikagima kurun it was a total pain in ass.
 
Siku hizi imefanyiwa marekebisho imekaa poa sana, nlijaribu kuweka kwenye PC ya Duo Core 2 ya ACER TravelMate5730 na ikapiga kazi fresh mpaka sasa na haina uzito kama zamani, ila kuna vitu vipo kama windows 10 japo kwenye system settings ndo kuna vikorokoro vimeongezeka ya ku customize kwa ufupi iko vizuri ukiizoea..

NB: Nilidownload Official ISO kutoka MS kabisa ndo nikatengeneza bootable nikainstall kwenye hako ka PC, sio WIN-11 cracked ni official ndo nmexperience iko poa hata kwa low end PC..
 
Imesharebishwa iko poa sana,ingawa pale mwanzoni ilikuwa na kasoro nyingi sana...
 
Siku hizi imefanyiwa marekebisho imekaa poa sana, nlijaribu kuweka kwenye PC ya Duo Core 2 ya ACER TravelMate5730 na ikapiga kazi fresh mpaka sasa na haina uzito kama zamani, ila kuna vitu vipo kama windows 10 japo kwenye system settings ndo kuna vikorokoro vimeongezeka ya ku customize kwa ufupi iko vizuri ukiizoea..

NB: Nilidownload Official ISO kutoka MS kabisa ndo nikatengeneza bootable nikainstall kwenye hako ka PC, sio WIN-11 cracked ni official ndo nmexperience iko poa hata kwa low end PC..
Mkuu, ukisha-install utahitaji ku-install na driver pack?.
 
Driver Pack tena mkuu ya nini! ni kuweka bando au kutafuta unlimited wifi then una update drivers zote kwa windows updates..
Hapo safi. Nishazoea Windows 7, kila ukipiga ni lazima usukume na driver pack.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom