Mnaotaka kuolewa msionjeshe

Mnaotaka kuolewa msionjeshe

Kwamba nyingine zina maji kama unafua loh,
 
Enzi zetu tuliishi vzr sana mambo ya kuonjana hayakuwepo kabisa, ciz mnaonjana tu kizazi cha nyoka hiki.
 
Kumekuwa na vilio kutoka kwa mabinti kuwa hawaolewi sasa babu yenu nimewasikiliza sana na kuwaonea huruma. ...dawa ya kupata ndoa Usionjeshee.

Acha kuonjesha ww kama hujaambiwa una kibamia
 
acha fiksii wewe unaweza kaa nayo na usiolewena unaweza toa naukaolewa...kutoa kutotoa sio formula
 
Sio sababu... kwani alikutongoza ili ufanyeje? acheni uzuzuuu kama ujatoa ukampata ni wewe na sio wotee. Ungeshauri mabinti wawe makini kutumia kinga na kuchekiana afya kbla
 
Hiyo hakuna formula spesheli aisee! unaweza ukakifichaficha ukadoda nacho na anayegawa akaolewa na tarumbeta utamchezea.

Huyu atakua ajui ile law of use and misuse... Practice make perfect.
 
Back
Top Bottom