Mnaotaka kuolewa msionjeshe

Mnaotaka kuolewa msionjeshe

Acheni utani nyie hiyo kitu hamkupewa ivunde yaani ndoa kwanza kabla ya kubadilishana uzoefu, wakuu hawa viumbe wanatofautiana sana kwa utamu aisee! usijaribu kuoa kabla ya kupeana hiyo kitu maana unaweza ukakutana na mdada wa adabu avue sasa utakuta ana bonge la rambo au tank lita 10000 kabs harafu ww una kamshumaa au kanyanya mshumaa mbaya zaidi ukute mwenzako speed ni 120 harafu ww ni 12.2 unaweza amka kiuno kimetengana na tumbo maana kuna midada ikijua ww ni mzembe utapigiwa game ya adabu aisee! usiombe yakukute mkuu utapiga mikelele hapo kitandani utazani alikutongoza yeye kumbe ni uroho wako wa papuchi naomba tukumbuke utamu wa juice uko kwenye ulimi wako haya mambo ya kula ugali kwa picha ya samaki yashapitwa na mda, nipe nionje niwe na uhakika kwanza na ww, asa daaaah! nyie wadada mmekuaje aisee mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia angalieni italiwa na nyenyene na kuvunda bure kwa mfano kuna mabinti sku hizi nyonyo kusimama mpaka apige deki au ainame mpaka chini kama anajimagufulisha(push up), , sasa wa hivi ukimuoa kabla ya kumgegeda na kuujua vzr mwili wake lazima utamkimbia tu . Ni hayo tu!
 
Last edited:
Kuonjeshana ndo mpango unaeza kutana na vitu vya ajabu ad ujutie kuolewa.
 
Acheni utani nyie hiyo kitu hamkupewa ivunde yaani ndoa kwanza kabla ya kubadilishana uzoefu, wakuu hawa viumbe wanatofautiana sana kwa utamu aisee! usijaribu kuoa kabla ya kupeana hiyo kitu maana unaweza ukakutana na mdada wa adabu avue sasa utakuta ana bonge la rambo au tank lita 10000 kabs harafu ww una kamshumaa au kanyanya mshumaa mbaya zaidi ukute mwenzako speed ni 120 harafu ww ni 12.2 unaweza amka kiuno kimetengana na tumbo maana kuna midada ikijua ww ni mzembe utapigiwa game ya adabu aisee! usiombe yakukute mkuu utapiga mikelele hapo kitandani utazani alikutongoza yeye kumbe ni uroho wako wa papuchi naomba tukumbuke utamu wa juice uko kwenye ulimi wako haya mambo ya kula ugali kwa picha ya samaki yashapitwa na mda, nipe nionje niwe na uhakika kwanza na ww, asa daaaah! nyie wadada mmekuaje aisee mnataka kutuuzia mbuzi kwenye gunia angalieni italiwa na nyenyene na kuvunda bure kwa mfano kuna mabinti sku hizi nyonyo kusimama mpaka apige deki au ainame mpaka chini kama anajimagufulisha(push up), , sasa wa hivi ukimuoa kabla ya kumgegeda na kuujua vzr mwili wake lazima utamkimbia tu . Ni hayo tu!
Hhahahahahaa umenifanya nianze mwaka mpya kwa kicheko.Eti mpaka apige deki
 
lazima uonjwe kwanza ndipo mambo mengine yaendele
 
Kumekuwa na vilio kutoka kwa mabinti kuwa hawaolewi sasa babu yenu nimewasikiliza sana na kuwaonea huruma. ...dawa ya kupata ndoa Usionjeshee.
Mwenye masikio na asikie.
 
Hawa watu hawatabiriki unaweza kumnyima na ukaachwa na unaweza kumpa akakuacha hivyo ni kumpa tu
Ni kumpa tu maana hamna namna kuna dada mmoja amebana weee miaka karibia 10 tangu tukiwa chuo alitaka ndoa kwanza ndo atoe na anajidai ana bikra kila anayempata akinyimwa anakimbia uzee ulipomnyemelea akastuka akaona hapa bila kutoa siolewi akampata mhuni mmoja kachapa kakuta no bikra kakimbia nusura huyo mdada atie sumu kinywani.
 
hiyo mboga yaonjwa kama chumvi imekolea wewe usionje kama ujazodisha chumvi na chakula kisilike
 
Wanao onja na wanao onjesha wote wazinzi wakubwa..
 
Acha kuidanganya nafsi yako! Sasa hugaramie bure tu na unafahamu mademu wa sasa hivi ni pasua kichwa. Ukifulia unatemwa then unajirahumu
 
Back
Top Bottom