Mnaotaka kuolewa msionjeshe

Mnaotaka kuolewa msionjeshe

Mademu wa mjini. ...unaweza kutana nae sehemu za heshima sana hata church lakini kumbe ni jambazi la mapenzi. ...alafu wadogo lakini wana milage kubwa za bibi vizee
 
Mademu wa mjini. ...unaweza kutana nae sehemu za heshima sana hata church lakini kumbe ni jambazi la mapenzi. ...alafu wadogo lakini wana milage kubwa za bibi vizee

Unataka tuvifungie ili iweje sasa acha wivu na vidude vya watu
 
Wadada wa mujini Ubishi wenu mnaonjesha mwisho hamwolewi babu yenu narudia mwenye masikio asikie mkitaka kuolewa. ..msionjesheee

Najua unapata picha mashostito walioamua kuwa single parents piga picha kama hawakuwa waonjeshaji wazuri
 
Mmh ukibania nyenyere watakula ss, mambo hy magumu sn cku hz kwnz hayawezekani..!!
 
Kizazi ambacho Mungu si miongoni mwa vikwazo vya kufanya uasherati😕
 
Kwani nyani ni vimiwa kwasababu ya kutumika?wacha hizo weweeeeee
acha tugegedane sie

Kimaumbile mpo tofauti. Kama umejifunza "elasticity" utaelewa naamisha nini.. zinakuwa marlboro na zinakosa ladha, hasa kama mtu kaanza kutanua akiwa bado mdogo...teh!!
 
Kumekuwa na vilio kutoka kwa mabinti kuwa hawaolewi sasa babu yenu nimewasikiliza sana na kuwaonea huruma. ...dawa ya kupata ndoa Usionjeshee.

Ina maana kwa ushauri wako bidhaa nyingi ni mbovu hivyo njia ya kuziuza ni kuweka tangazo dukani na kwenye receipt "no testing/ trying and once sold never returned even if the condition has not changed after being sold".
 
Kimaumbile mpo tofauti. Kama umejifunza "elasticity" utaelewa naamisha nini.. zinakuwa marlboro na zinakosa ladha, hasa kama mtu kaanza kutanua akiwa bado mdogo...teh!!

Wanakosa ladha kuku na samaki wa kwenye freezer not papuchi not papuchiooooo (in Nigerian voice)
 
Ushauri mbaya unaowapa. Usipoonjeshwa utanasaje sasa. Lazima uguse uonje ili unase.
 
Back
Top Bottom