Mnaotaka kuolewa msionjeshe

Mnaotaka kuolewa msionjeshe

Hamna kivp kuna dume ambae hana mpini...asa kuonjaonja kwenu cku ukikutana na mikaratus km yangu ikiwa dede inakaribia magotini ndo mtakoma...
 
Kumekuwa na vilio kutoka kwa mabinti kuwa hawaolewi sasa babu yenu nimewasikiliza sana na kuwaonea huruma. ...dawa ya kupata ndoa Usionjeshee.

Kwa vile hushakua babu ndo unataka kutuharibia sio?
 
Hamna kivp kuna dume ambae hana mpini...asa kuonjaonja kwenu cku ukikutana na mikaratus km yangu ikiwa dede inakaribia magotini ndo mtakoma...



Acha kujidanganya, hauwezi kumkomoa Mwanamke hata siku moja, sana sana wewe ndiyo utakuwa unajikomoa na yeye atakuwa anaona raha tu!
Mwili wa Mwanamke umeumbwa kuchukua uume wenye ukubwa wowote ule na ndiyo maana mtoto mchanga anapitia hapo, sasa kama mtoto mchanga mwenye mpka kilo 5 na kuendelea anaweza kupita iweje kijinyama chako ambacho hata gramu 500 hakifiki kimkomoe?
 
Hivi utajisikiaje siku ukiolewa na kumkuta jamaa anakibamia au mechi hachezi fresh kama unavotaka? Ni vyema kuwepo na mazoezi kabla ya ndoa, eboo!!!
 
Mimi.kuna kademu kamoja eti haonjeshi haonjeshi kumbe kana matatizo kibao kunako nailiu,siku moja kakanipa mzigo ,,maaaaama
Niliyoona.hayasemekiiii
 
Kumekuwa na vilio kutoka kwa mabinti kuwa hawaolewi sasa babu yenu nimewasikiliza sana na kuwaonea huruma. ...dawa ya kupata ndoa Usionjeshee.
Mmmmmmh jf na uhuru wa kuongea..
 
Back
Top Bottom