Mnaosujudu Israel, ni kipi hasa kinachofanya mlione ni taifa lenye watu wenye akili zaidi duniani?

Kwa akili ya kawaida tu, hivi israel alipigana na nchi zote za kiarabu? Yaani OMAN, SAUDIA, EMIRATES, BAHRAIN, KUWAIT, QATAR, YEMEN, IRAQ, LEBANON, JORDAN, SUDAN, ALGERIA, MOROCCO, EGYPT, TUNISIA, MAURITANIA, PALESTINE, LIBYA!

Maana navyojua mimi baada ya israel kuzidiwa dhidi ya Egyptian commandos ikabidi waombe support kwa marekani pamoja na mataifa ya ulaya wakaungana kwa pamoja na kuwapiga waarabu. Sasa hicho unachosema kaisrael kanchi kadogo kamewahenyesha nchi zote za kiarabu,,,sasa nchi za kiarabu ni hizo nilizozitaja hapo juu kwa madai yakwamba zilipigwa. Fafanua!
Nenda kasome six days war, halafu urudi hapa. Acha porojo!, ukitaka kujua power ya israel ondoa bias, ujifunze kwanza.
 
...ndio maana nikakuambia kuwa wanafanana ila tu tofauti Yao iko hapa.....

Waarabu wameitunza tamaduni yao bila ya kupata misukosuko......walibaki kwao majangwani kwa muda mrefu...majangwa ya kutoka bahari ya shamu mpaka mito ya Tigris na Euphrates......

Wayahudi walitunza tamaduni zao mikononi mwa Hitler na Himmler huko katika makambi ya mateso na mauaji(Bergen ,Auswitchz &Birkenau).....kwa kuwa waliishi na tamaduni tofauti ,ikawaongezea UPEO MKUBWA MNO KUSHINDANA RACES nyingine....
Kwa hio wayahudi wana upeo mkubwa kuliko wazungu, kuliko wachina, kuliko wajapani. Unsongea ukweli mkuu.
Hapa TZ tunatumia vifaa vilivyotengenezwa na wachina,wajapani na wakorea sasa unaniaminishaje kuwa wanaupeo mkubwa huku sina nachofaidi kutoka kwao.
 
Waisraeli wamerusha satellite mpya kwa dhumuni la ujasusi hasa kuichunguza Iran na teknolojia yao ya Mabomu ya Nyuklia.

Ni vipi waihofia Iran huku ninyi mnaowasujudu mnaamini kuwa wana akili sana kuliko mtu yoyote duniani. Kwanini wasiunde vifaa vya kufanya hayo mabomu ya Iran yawe maji ya kunywa?

Mnaosujudu Waisraeli kuwa wana akili sana, mbona sio nchi inaoongoza kuwa na akili zaidi katika top ten countries. Siyo nchi inayoongoza kuwa na smartest people on earth. Sio nchi inayoongoza kuwa na teknolojia mpya duniani.

Sio nchi inayoongoza kuwa na wanafunzi werevu zaidi duniani. Sio nchi inayoongoza kwa research papers duniani.

Sio nchi inayoleta teknolojia mpya zinazoshangaza dunia. Mfano Kompyuta, gari, treni za mwendokasi, ndege, mitandao. Vyote vimeanzia Ulaya na Marekani ndio Israel.

Akili yao ni ya ajabu sana. Mbona sioni kipya walichonacho ambacho Wazungu, Wamarekani hawana? Ninyi mnawapima vipi hizo akili nyingi zilizobarikiwa?

Kuna sehemu nadhani kwene biblia sina uhakika Wenyewe watakuja kusema

“Nao watarudi kwene Ardhi yao ,Watakaporudi hamna atakae weza kuwa ng’oa “

Ukifatilia haya maneno naona ni kweli

Waarabu wamejaribu kuungana wameshindwa tangu 1948 saa izi wamesurrender wanaanza taratibu kuwa rafiki

Sasa hivi ni nchi nyingi za kiarabu zinaitambua Israel kuliko miaka iliyopoita
Iliyobaki n IRan
 
Waisraeli wamerusha satellite mpya kwa dhumuni la ujasusi hasa kuichunguza Iran na teknolojia yao ya Mabomu ya Nyuklia.

Ni vipi waihofia Iran huku ninyi mnaowasujudu mnaamini kuwa wana akili sana kuliko mtu yoyote duniani. Kwanini wasiunde vifaa vya kufanya hayo mabomu ya Iran yawe maji ya kunywa?

Mnaosujudu Waisraeli kuwa wana akili sana, mbona sio nchi inaoongoza kuwa na akili zaidi katika top ten countries. Siyo nchi inayoongoza kuwa na smartest people on earth. Sio nchi inayoongoza kuwa na teknolojia mpya duniani.

Sio nchi inayoongoza kuwa na wanafunzi werevu zaidi duniani. Sio nchi inayoongoza kwa research papers duniani.

Sio nchi inayoleta teknolojia mpya zinazoshangaza dunia. Mfano Kompyuta, gari, treni za mwendokasi, ndege, mitandao. Vyote vimeanzia Ulaya na Marekani ndio Israel.

Akili yao ni ya ajabu sana. Mbona sioni kipya walichonacho ambacho Wazungu, Wamarekani hawana? Ninyi mnawapima vipi hizo akili nyingi zilizobarikiwa?
Waua Yesu. Makatili. Wapora ardhi. Wabaguzi ukibisha nenda kaishi kule na hata ukifuata dini yao ya hebrew bado utabaguliwa tu
 
Israel bila ya zaidi ya dollars bilion 10 wanazopewa na USA kila mwaka hawana lolote.
Isreal ni Marekan ndogo ndio maana hata baajeti yake inatoka marekan ile ni zuga tu kujifanya taifa lengine, na lengo kuu kupata mafuta
 
Kwa akili ya kawaida tu, hivi israel alipigana na nchi zote za kiarabu? Yaani OMAN, SAUDIA, EMIRATES, BAHRAIN, KUWAIT, QATAR, YEMEN, IRAQ, LEBANON, JORDAN, SUDAN, ALGERIA, MOROCCO, EGYPT, TUNISIA, MAURITANIA, PALESTINE, LIBYA!

Maana navyojua mimi baada ya israel kuzidiwa dhidi ya Egyptian commandos ikabidi waombe support kwa marekani pamoja na mataifa ya ulaya wakaungana kwa pamoja na kuwapiga waarabu. Sasa hicho unachosema kaisrael kanchi kadogo kamewahenyesha nchi zote za kiarabu,,,sasa nchi za kiarabu ni hizo nilizozitaja hapo juu kwa madai yakwamba zilipigwa. Fafanua!
Ina maana kwenye hiyo vita ya siku 6 waliomba msaada na ukaingia on time ndani ya huo mda?
 
Israel wao waliba jina la Mtume Yaqoub sababu alikuwa na Majina mawili ili watengeneze Bibilia zao na kusema Israel ni taifa teule wamesahau history huwezi ibadilisha makibila 12 ya wajukuu wa Israel wapo Warabu, Wa Afghanstan, Wayahudi na makibila mengi

Afu nchi walio ahidiwa katakana na Quran na Bibilia

Itakuwa ni Aradhi ya kinani ni Misr automatic kwa sasa ni Egypt

Afu bani Israel mbona wengi tu walifuata dini ya baba yao ni Uislam.

Mungu Alisha wauliza swali wakristo nawayahudi kuhusu Ibrahim kama wanadai Ibrahim alikuwa myahudi au mkristo walete Dalili zao

Hawana kitu hao ni kila watu wakipata elimu ndio watajua hio Israel ilitengenezwa na muingereza si kama wanavyo dai wakristo.
 
Mkuu, sijajua tatizo hapa ni nini?Wa Irani ni Waajemi kama walivyo wapalestina hawa ni maadui wa kihistoria. Kuhusu uwezo wa kiakili wa Waisrael hawana tofauti na wewe ila uwezo wao huo mdogo wanautumia kikamilifu kuhakikisha wana survive kama taifa.

Israel haina magenius ila wa self determination ya hali ya juu ambayo inafanya wahangaike kuhakikisha kuwa wanaendelea kuwepo.

Kuhusu watu kushabikia Israel, hizo ni matokea ya Propaganda tu ambazo huwa zinakuja kupitia dini na historia sioni tatizo hapo kama ambavyo inaonesha kwamba hata wewe kuna mambo fulani umelishwa dhidi ya Waisrael.

All in all tuwaze ya kwetu kwa sasa.
Umeongea kweli ila kihistoria Uajemi haina uadui na Israel,kumbuka wakati inaanguka dola ya Babeli na kuibuka Uajemi,waliomba wakaijenge tena nchi yao na Mfalme wa Uajemi akawaruhusu ingawa Wayahudi waligoma kuondoka wakazamia hukohuko.Hadi leo nchini Iran kuna dini ingawa ina wafuasi wachache,wao wanafuata mafundisho ya Yohana Mbatizaji.Ila tatizo ni pale Iran alipofanya mapinduzi na kukataa kuwa rafiki wa USA basi na ugomvi umekuja hapo.Pia hata Saudi Arabia na Iran hawaivi kabisa kwa sababu za utofauti wa madhehebu lakin pia Saudia ni swahiba mkubwa wa USA. Na katika mambo ya kiimani,Wairan hadi leo wanaulaani ukoo wa kifalme maana hawa ndo walipindua utawala wa himaya ya Hijjaz na kuiweka ndani ya Saudia,kama vile Spain na Catalunya..
 
Back
Top Bottom