Anayebisha kuwa watu wenye ASILI YA PALE JERUSALEM KIHISTORIA hawana uwezo mkubwa kuzidi wengine katika NYANJA za UVUMBUZI,TEKNOLOJIA,SAYANSI,BIASHARA KUBWA na MFUMO WA FEDHA DUNIANI basi huyo atakuwa ana "MBANGO TU".....
Wayahudi wamewazidi wengine kwa sababu ya HISTORIA YAO YA KUTESWA KUUWAWA NA KUKANDAMIZWA duniani....
Wayahudi wamewazidi wengine(inavyoaminika kuwa WALICHAGULIWA NA MUNGU MWENYEZI)nami pia SILIPINGI HILI...
Kwani wote niliokutana nao maishani ima wawe na dini ama laa bali HUAKISI UKWELI HUO wa AKILI NYINGI,ADABU NA NIDHAMU YA MAISHA(muda,afya,,mali,mazingira),FIKRA TUNDUIZI, DEDICATION YA MAISHA BORA kwa mawanda na upana wa ajabu mno kuliko ETHNICITIES NYINGI(wazungu,waarabu,wachina,wahindi,waafrika hata kama watu hawa wana elimu na utajiri mkubwa).
πππ
Nimejikuta NINAWAPENDA NA KUWAADMIRE SANA wayahudi na si kwamba NINAWAABUDU hasha lillahi....
Allahu a'alam(Mungu Mwenyezi ni mjuzi haswa).
Muuza Al Kasus
Tandale Mtogole
Hao notorious Slave traders? Wanaheshimika kwa kukodisha Mashua za kubebea watumwa Duniani kutoka Africa!! walitoa mikopo kwa wafanya biashara ya watumwa Duniani hasa USA! Makampuni makubwa ya Bima ya biashara ya watumwa yaliendeshwa na Waisrael hawahawa!!
Biashara ile iliwanufaisha vizazi na vizazi mpaka leo! ni wabaguzi wa rangi hkn mfano wewe uliona Myahudi mmoja mmoja tu, Askari Farashas ndani ya jeshi la Israel hawaminiwi!!, wanabaguliwa mpaka wengine wanajiua, waafrica walioko Isael wanatengwa, hawapewi kazi nzuri km wayahudi wengine.
Kama pale ni kwao kweli kwa nini wanaongoza Duniani kuwa na Skin cancer tokana na Atla violet sun rays? ikifuatiwa na Austaralia? wazi kwamba ngozi zao (light skin) zina kuwa vizuri kwenye Temperate zones in High Latitude, sababu ya Hypomelanaesia!!
Ni kweli mungu wa Ulimwengu kawapendelea, hii siyo sababu kwa wajuvi kuwakubali, waarabu na waisrael wote ni manzi ga Nyanza! wako vizuri kutengeneza Propaganda kupitia vyombo vyao vya habari Duniani. na wengi wanadanganyika!
Haijawahi kutokea Mzungu amtese mzungu mwenzake kiudhalili hivo! kwanza ni wateke akikaa kwa jua tu mda mrefu anazimia km siyo kufa, Si wana hela hao?? sasa iweje mwenye hela, Mali na viwanda ateswe na maskini? hizo ni propaganda za Ki- Nazi.
Wanatamani kuteswa km wa -Africa walivoteswa ili kupotezea uharamia wao na roho mbaya zao , wapate huruma ya Dunia! Jamii pekee iliyoteswa Duniani kupitiliza mpaka leo inateswa na kudhalilika kusiko semekana ni WA-AFRICA, Mpaka leo imekuwa km fashion watesaji nao ''wanalilia mateso na sisi tuliteswa mtuonee huruma!'' waliteswa na nani???
Utumwa na Mateso makubwa ya kuchukiwa na Jamii za watu matajiri Duniani imefungamanishwa na uteule wa wana wa Mungu Mwenyezi kupitia father Abraham, Biblia na Quran zimetaja neno watumwa mara zaidi ya 3000.
Waisrael wa leo wanajibananisha hapo kwenye Neno la Mungu waonekane wao ni wateule wa Mungu ili kupoteza wengi. Musa alitoa hotuba yake ya mwisho kwa wana wa Israel, Kumbukumbu la torati, alisema Msiposhika neno la Mungu safari hii mtarudishwa Misri kwa mitumbwi, na safari ambayo hamta rudi tena, hawa mbona wamerudi?
Giant of the old ateswe?? Thubutuu!!! mpaka leo yule ni giant hakuna wa kumtisha Duniani, yuko juu ya sheria. anamiliki kila kitu Madini, Ardhi ya Dunia ni vyake!!