Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,750
Binafsi SI MSUJUDU WA Israel Wala Taifa lolote...
ILA....
Ninawaheshimu na kuwaADMIRE sana WAYAHUDI regardless ya mambo ya DOLA YAO juu ya wengine...hayo ni kawaida kutofautiana katika POLICIES kwani sisi sote ni BINADAMU na mkamilifu ni MWENYEZI MUNGU PEKEE....
Binafsi nina marafiki wengi ambao ni MAYAHUDI waishio marekani na ambao ni RAIA WA MAREKANI.
Watu wengi hawajui kuwa MAYAHUDI wako wengi na wanatofautiana DINI na mitizamo ya KISIASA ya DOLA LAO....
Wako marafiki zangu wa kiyahudi ambao hawana DINI(atheists).
Hapa kuna WANASAYANSI na WALIBERALI NGULI.
Wako marafiki zangu wayahudi ambao wana DINI ya KIYAHUDI lakini ni AGNOSTIC na wasioiishi dini yao kivitendo.
Wako marafiki zangu wayahudi ambao wanafuata DINI YAO stritcly kivitendo...hapa wako wale NETURAI KARTA(wanaoona kuwa David Ben Gurion,Moshe Dayan na kina Benyamin Netanyahu WALIKOSEA na WANAKOSEA kuanzisha TAIFA LAO HURU...wao wanaamini kuwa MUNGU MWENYEZI hajamtuma MKOMBOZI WAO kuwaambia hayo....
Wako marafiki zangu wayahudi WASIO NA DINI kabisa na ambao wanapinga uanzishwaji wa TAIFA HILO.....
ILA....
Ninawaheshimu na kuwaADMIRE sana WAYAHUDI regardless ya mambo ya DOLA YAO juu ya wengine...hayo ni kawaida kutofautiana katika POLICIES kwani sisi sote ni BINADAMU na mkamilifu ni MWENYEZI MUNGU PEKEE....
Binafsi nina marafiki wengi ambao ni MAYAHUDI waishio marekani na ambao ni RAIA WA MAREKANI.
Watu wengi hawajui kuwa MAYAHUDI wako wengi na wanatofautiana DINI na mitizamo ya KISIASA ya DOLA LAO....
Wako marafiki zangu wa kiyahudi ambao hawana DINI(atheists).
Hapa kuna WANASAYANSI na WALIBERALI NGULI.
Wako marafiki zangu wayahudi ambao wana DINI ya KIYAHUDI lakini ni AGNOSTIC na wasioiishi dini yao kivitendo.
Wako marafiki zangu wayahudi ambao wanafuata DINI YAO stritcly kivitendo...hapa wako wale NETURAI KARTA(wanaoona kuwa David Ben Gurion,Moshe Dayan na kina Benyamin Netanyahu WALIKOSEA na WANAKOSEA kuanzisha TAIFA LAO HURU...wao wanaamini kuwa MUNGU MWENYEZI hajamtuma MKOMBOZI WAO kuwaambia hayo....
Wako marafiki zangu wayahudi WASIO NA DINI kabisa na ambao wanapinga uanzishwaji wa TAIFA HILO.....