Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,984
- 113,845
Wengi sana wanafanya hivyo, nna shem wangu yeye anajipost sana kwenye namba ya bro.Mwenyewe naona
Wengi sana wanafanya hivyo, nna shem wangu yeye anajipost sana kwenye namba ya bro.Mwenyewe naona
Kwani umelazimishwa kuangalia status ya mtu?Habarini za asubuhi 5 am Club members na Wengine ?
Nimeamka asubuhi hii nikawa na natizama status kidg kabla sijaenda mezani kufanya kazi zangu binafsi kabla ya muda wa kwenda kutimika utumwani (Utumishi).
Nimekutana na post ya mshikaji mmoja amepost picha ya Mwanamke ambaye ni mke wake kwa mujibu wa maelezo yake pale chini akisema
"Nimekumiss sana Mke wangu...I can't wait to see you again " na Sio huyu tu, Mwingine tena wiki mbili zimepita alimpost mkewe na yeye mwenyewe akimwambia "Nimekumiss sana mama watoto, Akaweka na makopa kopa"
Na wanaoweka haya mtangazo ya hivi wengi ni wanaume!
Hivi washikaji zangu, huwa mnataka sisi viewers tujibu au tufanye nini kama wewe ndio umemmiss mkeo si Umwambie huko inbox kwenu. Kwani sisi wote tunao view status yako ni wake zako ??
Na kwa nini hii trend inakua kubwa kwa wanaume ?? Sijaona post ya mdada akisema nimekumiss mme wangu zaidi utaona video zao wakibinua viuno na kutuonyesha Ma*ko na kuchezesha kope bandia huku wameweka Filter. Au kuna jambo ambalo mimi silijui ?? Have the men community turned into simps ??
Huu ni Ushamba sana !! Kama unampenda mkeo si unwambie privately? Basi kama kama unataka kuthibitisha si umeamua kuthibitishia kuwa unampenda huyo Mwanamke wako uju uweke pia video ukiwa unamshughulikia.... !! Nilijua hizi ishu za kujikosha mtandaoni ni za wanawake sasa wanaume tumeanza kufuata.
Ona unavyoteseka..!!Sasa kama unaandika maneno ya mahaba kwenye status na unayemlenga unaweza kumtumia private tu huoni kama ni Ushamba.
Minyege inamsumbua alitaka wampostie makalio ya wake wa wenzake amalizie shida zake 😹😹😹Itakua za wachezesha makalio ndiyo anapandia mnazi 😎 😂 ataumiaje sasa?
Punguza hasira mkuu.Habarini za asubuhi 5 am Club members na Wengine ?
Nimeamka asubuhi hii nikawa na natizama status kidg kabla sijaenda mezani kufanya kazi zangu binafsi kabla ya muda wa kwenda kutimika utumwani (Utumishi).
Nimekutana na post ya mshikaji mmoja amepost picha ya Mwanamke ambaye ni mke wake kwa mujibu wa maelezo yake pale chini akisema
"Nimekumiss sana Mke wangu...I can't wait to see you again " na Sio huyu tu, Mwingine tena wiki mbili zimepita alimpost mkewe na yeye mwenyewe akimwambia "Nimekumiss sana mama watoto, Akaweka na makopa kopa"
Na wanaoweka haya mtangazo ya hivi wengi ni wanaume!
Hivi washikaji zangu, huwa mnataka sisi viewers tujibu au tufanye nini kama wewe ndio umemmiss mkeo si Umwambie huko inbox kwenu. Kwani sisi wote tunao view status yako ni wake zako ??
Na kwa nini hii trend inakua kubwa kwa wanaume ?? Sijaona post ya mdada akisema nimekumiss mme wangu zaidi utaona video zao wakibinua viuno na kutuonyesha Ma*ko na kuchezesha kope bandia huku wameweka Filter. Au kuna jambo ambalo mimi silijui ?? Have the men community turned into simps ??
Huu ni Ushamba sana !! Kama unampenda mkeo si unwambie privately? Basi kama kama unataka kuthibitisha si umeamua kuthibitishia kuwa unampenda huyo Mwanamke wako uju uweke pia video ukiwa unamshughulikia.... !! Nilijua hizi ishu za kujikosha mtandaoni ni za wanawake sasa wanaume tumeanza kufuata.
Mawazo mabaya unayoKwani sisi wote tunao view status yako ni wake zako ??
Ndio waliokuzunguka maishaniSijaona post ya mdada akisema nimekumiss mme wangu zaidi utaona video zao wakibinua viuno na kutuonyesha Ma*ko na kuchezesha kope bandia huku wameweka Filter
Acha wivu, ni ugonjwa jitibu.Huu ni Ushamba sana !!
📌🔨🔨Hivi washikaji zangu, huwa mnataka sisi viewers tujibu au tufanye nini kama wewe ndio umemmiss mkeo si Umwambie huko inbox kwenu. Kwani sisi wote tunao view status yako ni wake zako ??
Huu ni ukweli lakn kabla ya kuleta mada huku umesha waeleza hao wahusika?japo kuwa na huku wapo pia😂😂Habarini za asubuhi 5 am Club members na Wengine ?
Nimeamka asubuhi hii nikawa na natizama status kidg kabla sijaenda mezani kufanya kazi zangu binafsi kabla ya muda wa kwenda kutimika utumwani (Utumishi).
Nimekutana na post ya mshikaji mmoja amepost picha ya Mwanamke ambaye ni mke wake kwa mujibu wa maelezo yake pale chini akisema
"Nimekumiss sana Mke wangu...I can't wait to see you again " na Sio huyu tu, Mwingine tena wiki mbili zimepita alimpost mkewe na yeye mwenyewe akimwambia "Nimekumiss sana mama watoto, Akaweka na makopa kopa"
Na wanaoweka haya mtangazo ya hivi wengi ni wanaume!
Hivi washikaji zangu, huwa mnataka sisi viewers tujibu au tufanye nini kama wewe ndio umemmiss mkeo si Umwambie huko inbox kwenu. Kwani sisi wote tunao view status yako ni wake zako ??
Na kwa nini hii trend inakua kubwa kwa wanaume ?? Sijaona post ya mdada akisema nimekumiss mme wangu zaidi utaona video zao wakibinua viuno na kutuonyesha Ma*ko na kuchezesha kope bandia huku wameweka Filter. Au kuna jambo ambalo mimi silijui ?? Have the men community turned into simps ??
Huu ni Ushamba sana !! Kama unampenda mkeo si unwambie privately? Basi kama kama unataka kuthibitisha si umeamua kuthibitishia kuwa unampenda huyo Mwanamke wako uju uweke pia video ukiwa unamshughulikia.... !! Nilijua hizi ishu za kujikosha mtandaoni ni za wanawake sasa wanaume tumeanza kufuata.
Wivu haujawahi muacha mtu salama