GE2025 Mnaolitegemea Jeshi imekula kwenu!

GE2025 Mnaolitegemea Jeshi imekula kwenu!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hata mi nikiwaambia wenzangu ningumu sana kwa jeshi la Tz . Acha tuendelee kutawaliwa na wana mtandao wasiozidi 20
 
Kumbe kuna video Captain Mosha?

Tuambie kuhusu video ya Captain Tesha.

Hiyo ya Mosha hatuijui

Nyani Ngabu fal@ sana
 
Uko sawa Mkuu sema watu wanakubagaza tu. Oath of allegiance ya JWTZ hii hapa:-
Screenshot_20251013_143920_ChatGPT.jpg

Kiapo hicho hulenga mambo yafuatayo:

1. Utii kwa Katiba na Serikali halali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

2. Kulinda uhuru, mipaka na maslahi ya taifa.

3. Kufuata amri halali za viongozi wa kijeshi.

4. Kutunza siri za kijeshi na kuepuka usaliti.

5. Kudumisha nidhamu, uadilifu na heshima kwa raia.

6. Kujitolea maisha kwa ajili ya taifa.

Mytake:
Hayo ambayo watu wa JF, Instagram na Twitter wanayotaka yatokee siyo sehemu ya kiapo chao
 
Wiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

As time passes by, those sentiments will age like fine wine.

On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.

Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.

Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.


Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?

Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?

Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.

Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.

Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.

Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?

Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.

JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.

Once again, my words will age like fine wine.

Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.

Watch this space……
Chai
 
TZ wananchi wanategemea jeshi liwasaidie. Jeshi nalo linategemea wananchi walisaidie. Ni kihoja.
 
JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.
Kama ni mafisadi na wameonjeshwa asali basi wanaweza taka kuunga mkono wananchi ili sasa badala ya kuonjeshwa washike buyu zima la asali. Lakini pia kama ni mafisadi basi watatamani wapindue ili huo ufisadi unaofanyika waufanye wao kuliko wanasiasa!

So for them it's a win-win either way
 
Kwahio Jeshi lingechukua hao watu ndio wangekula na wanajeshi (kwamba things would have been better) ?

Au ndio zile kama Chess mtu unasogezewa Pawn unakula kwa kushangilia kumbe unampa upenyo mtu atakutandika mpaka Check Mate....
 
Jeshi lili muhasi Nyerere akaenda kujifisha Mashimoni, Sembuse Nani sasa?

They just need the right course.
Huwezi fananisha kipindi hiko na sasa,now jeshi lenyewe linatubumiwa kiongozi wake anakula na wakubwa ,we angalia kesi ile ya Mbowe ya ugaidi kuna wanajeshi waliteswa na polisi kisa wakubali uongo na jeshi lilikua kimya halijatetea wenzao.
 
Nani kakwambia watz tunategemea jeshi ili kujikomboa? Kwa taarifa yako watz wakiamka kudai ukombozi dhidi ya hii serikali ya ufisadi hakuna wa kuwazuia. Ni kwamba tu ccm bado imeshikilia vichwa vingi vya watz wasio jua lolote linaloendelea katika nchi yao.
True, Watz wengi bado ni vilaza na huo udhaifu ndio wanautumia Viongozi
 
Ajabu tunaenda kulinda wananchi wa congo huku sisi tunatekwa tunachukuliwa km njiwa na watu wanatajwa kabisa wanaohusika lakini Jeshi limejizima data .....kamateni mmoja mtandikeni ipasavyo atawataja wapumbavu wenzakr wanao ua watz ...Jeshi la wananchi mnatuangusha sana sisi wananchi.
 
jeshi kuwa upande wa Sa100 ni kukubali kupoteza wasifa wao , wasipolijua hili mapema bas wakajionee kule Sudan namba Al Bashir alivyolibagaza jesgi lake
Wiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

As time passes by, those sentiments will age like fine wine.

On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.

Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.

Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.


Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?

Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?

Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.

Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.

Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.

Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?

Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.

JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.

Once again, my words will age like fine wine.

Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.

Watch this space……
 
Ikiwa hivyo ushauri wako ni upi hapo zaidi ya kuwa wewe kuwa sehemu ya tatizo??

Waache Watz na nchi yao tar 29 ni muhimu sana kwao. Njiti moja ya kibiriti hutosha kuunguza msitu. Kinachohitajika ni nguvu kidogo tu. Tar 29 ni sawa na kulipormosha gari lililoegeshwa mlimani. Nguvu kidogo tu (initial energy).
Unajuwa; huyo jamaa ni mchokonozi tu, anayejifanya hazimtoshi kichwani huku akitamani kitokee anachojifanya haamini kitatokea.

Huyo na baadhi ndivyo walivyo.

Hakuna aanaye tegemea jeshi. Kinacho tegemewa ni Jeshi lisiwasumbue waTanzania wakati wakifanya kazi yao ya kuuangusha huu utawala wa waovu; na hivyo ndivyo itakavyokuwa.
 
Kwasababu wa Tz wengi wana tabia za kinyumbu hawawezi kukuelewa
 
Kwasababu wa Tz wengi wana tabia za kinyumbu hawawezi kukuelewa
Nyumbu hao hao, safari hii mtawaelewa tu.
Watatumia akili hiyo hiyo ya kinyumbu; mkusanyiko mkubwa na kukanyagakanyaga takataka kama nyinyi chini ya miguu yao.
 
Wiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Tesha.

As time passes by, those sentiments will age like fine wine.

On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.

Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.

Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.


Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?

Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?

Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.

Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.

Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.

Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?

Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.

JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.

Once again, my words will age like fine wine.

Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.

Watch this space……
Hii nchi ilipaswa kupitiwa na gharika la nuhu ianze na kizazi kipyaaa
 
Back
Top Bottom