Kwa hili nakubaliana na wewe.Ni kweli. Ila karibu wote hao wa chini ni vilaza mno.
ChaiWiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Tesha.
As time passes by, those sentiments will age like fine wine.
On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.
Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.
Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.
Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?
Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?
Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.
Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.
Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.
Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?
Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.
JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.
Once again, my words will age like fine wine.
Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.
Watch this space……
Kama ni mafisadi na wameonjeshwa asali basi wanaweza taka kuunga mkono wananchi ili sasa badala ya kuonjeshwa washike buyu zima la asali. Lakini pia kama ni mafisadi basi watatamani wapindue ili huo ufisadi unaofanyika waufanye wao kuliko wanasiasa!JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.
Huwezi fananisha kipindi hiko na sasa,now jeshi lenyewe linatubumiwa kiongozi wake anakula na wakubwa ,we angalia kesi ile ya Mbowe ya ugaidi kuna wanajeshi waliteswa na polisi kisa wakubali uongo na jeshi lilikua kimya halijatetea wenzao.Jeshi lili muhasi Nyerere akaenda kujifisha Mashimoni, Sembuse Nani sasa?
They just need the right course.
True, Watz wengi bado ni vilaza na huo udhaifu ndio wanautumia ViongoziNani kakwambia watz tunategemea jeshi ili kujikomboa? Kwa taarifa yako watz wakiamka kudai ukombozi dhidi ya hii serikali ya ufisadi hakuna wa kuwazuia. Ni kwamba tu ccm bado imeshikilia vichwa vingi vya watz wasio jua lolote linaloendelea katika nchi yao.
Wiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Tesha.
As time passes by, those sentiments will age like fine wine.
On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.
Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.
Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.
Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?
Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?
Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.
Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.
Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.
Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?
Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.
JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.
Once again, my words will age like fine wine.
Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.
Watch this space……
Unajuwa; huyo jamaa ni mchokonozi tu, anayejifanya hazimtoshi kichwani huku akitamani kitokee anachojifanya haamini kitatokea.Ikiwa hivyo ushauri wako ni upi hapo zaidi ya kuwa wewe kuwa sehemu ya tatizo??
Waache Watz na nchi yao tar 29 ni muhimu sana kwao. Njiti moja ya kibiriti hutosha kuunguza msitu. Kinachohitajika ni nguvu kidogo tu. Tar 29 ni sawa na kulipormosha gari lililoegeshwa mlimani. Nguvu kidogo tu (initial energy).
The Icebreaker mtu wangu wa nguvu inakuwaje mwamba mwenye wake wanne. Mwamba mwenye rangi ya mtume. Icebreaker nakuiiitaaa kwa sauti mtu wanguuuuu. Icebreaker okoa Taifa. Taifa linakutegemea. Tuokoe maaaamaeeee.Aisee
You don't even live under a rock; you must be wandering in the wilderness not to know what Tanzanians want.Watu kibao humu wamelitaka jeshi lichukue nchi!
What rock are you living under?
Nyumbu hao hao, safari hii mtawaelewa tu.Kwasababu wa Tz wengi wana tabia za kinyumbu hawawezi kukuelewa
Hii nchi ilipaswa kupitiwa na gharika la nuhu ianze na kizazi kipyaaaWiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Tesha.
As time passes by, those sentiments will age like fine wine.
On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.
Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.
Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.
Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?
Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?
Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.
Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.
Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.
Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?
Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.
JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.
Once again, my words will age like fine wine.
Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.
Watch this space……
💯%.Hii nchi ilipaswa kupitiwa na gharika la nuhu ianze na kizazi kipyaaa