Wiki iliyopita nilileta mada kuhusu matumaini hewa waliyojipa watu kutokana na ile video ya mtu aliyejiita Kapteni Mosha.
As time passes by, those sentiments will age like fine wine.
On the contrary, the sentiments of those who ridiculed me, dismissed me, abused me, etc., are aging like organic whole milk 😀.
Kwa taarifa yenu, kama mlikuwa hamjui, wanajeshi wa Tanzania hawana tofauti na raia wa Tanzania.
Haya sasa kumbe hata huyo kiongozi wao naye ana tuhuma za ufisadi.
Hao ndo mnawategemea wawe upande wa wananchi?
Hawa wanajeshi ambao huwa wanawapiga raia with impunity kama vile raia ndo maadui zao, ndo mnawategemea wawe upande wa raia?
Hao mimi sidhani kama kuna chochote kinachowakera nchi hii.
Mimi naona yote yanayotokea wao wanaona ni sawa tu.
Ni suala la kuwaonjesha asali kidogo tu, basi.
Sasa kama tayari na wao wana tuhuma za ufisadi, nyie mnatarajia nini kutoka kwao?
Najua hampendi kuambiwa ukweli. Ila ukweli ni ukweli tu hata muukatae, utabaki kuwa ni ukweli tu.
JWTZ haliwezi kuwageuka CCM. Wanaoonjeshwa asali hawawezi wakamgeuka anayewaonjesha hiyo asali.
Once again, my words will age like fine wine.
Whereas, your frustrations will age like Maple Hill organic whole milk.
Watch this space……