GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,123
- Thread starter
- #21
Kusoma Kwangu SAUT na Kuleta hapa walichokihoji wakazi wa Chato vina 'Logical Connection' ipi? Pumbavu.,...!!Shule zetu hizi nazo ni majnga matupu; we jamaa si una degree ya SAUT? So kama kuna kosa tumewahi kulifanya then tuendelee kulifanya kwasababu huko nyuma tuliwahi kukosea!