GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Je, hawa Watu (wakimaanisha nyie wana JamiiForums) wanaokataa Chato isiwe Mkoa mbona Katavi (sasa Mkoa) Kijiografia ni Mdogo kuliko Chato na haina Miundombinu mizuri (hasa barabara) kama Chato lakini umekuwa Mkoa na wala hamkulalamika na kusema lolote ila kwa Chato Macho yamewatoka kama Bundi na Mishipa ya Shingo imewashupaal kama Nondo za Madirishani?
Haya sasa kama mnawaweza wajibuni.
Haya sasa kama mnawaweza wajibuni.