Mnazinguakinoma
Senior Member
- Dec 3, 2021
- 179
- 335
Kuna kitu sikielewi, na kinanitokea kila siku na kila saa.
Unakuta kila lisaa nikiangalia mda lazima nikutane na namba zinazofanana mfano, 10:01 au 11:11 sielewi maana yake msaada tafadhali kwa wale calculators ina maana gani hizo namba in my life?
Ova.
Unakuta kila lisaa nikiangalia mda lazima nikutane na namba zinazofanana mfano, 10:01 au 11:11 sielewi maana yake msaada tafadhali kwa wale calculators ina maana gani hizo namba in my life?
Ova.