Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,043
Hakika kuishi DAR kuna RAHA na SHIDA Zake. Shida kubwa ya Kuishi Dar ni Umbali wa kutoka unapoishi na unapofanyia shughuli zako za kila siku. Kama Mtumishi wa Umma anayeishi Mabwepande au Chanika na anafanyia shughuli zako Posta na unatakiwa kuripoti Ofisini saa 1.30 iwe una usafiri binafsi au wa Umma.
Je unapaswa kuamka saa ngapi?
Je unapaswa kuamka saa ngapi?