MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Unajua fika kuwa leo hata Kanisa Katoliki Kawe nao wana Mkesha wao halafu Wewe kwa Makusudi umepanga Viti vyako na Spika zako Kubwa zenye Kelele jirani kabisa na Kanisa Katoliki Kawe.
Mwamposa huyo Kiongozi wa Serikalini anayekupa hiki Kiburi chote na hizi Jeuri zote atakuponza na labda hujajua au hujui Nguvu ya Kanisa Katoliki ndani ya Taifa hili la Tanzania.
Ulichokifanya hasa kwa Kuweka Spika zako Kubwa mpaka Jirani na ilipo Hospitali ya Masista Kawe ambako hapo hapo kwa sasa Kanisa Katoliki lina Ukumbi wake na hata Maombi ya Mkesha wa Kuukaribisha mwaka mpya wa 2023 unafanyika.
Mfano kwa Spika Kubwa uliyoziweka na Sauti Kubwa inayosikika sasa Waumini wa Kanisa Katoliki Kawe hawatoweza Kusikilizana au hata Ibada kuwa ya Masikilizano.
Lakini pia hata Wakazi wa Kawe nao kwa Usiku huu utawapa Kero ( Noise Pollution ) kwa Spika Kubwa uliyoziweka na Sauti Kubwa iliyopo sasa na tunajua hujali kwakuwa Unalindwa na pia Unakula na Wakubwa wanaokupa hii Jeuri uliyonayo.
Namalizia kwa Kukuonya Mwamposa kuwa Cheza na Wote ila siyo Kanisa Katoliki nchini Tanzania na usiwaone wako Kimya kwa huu Uchokozi wako wa Kimakusudi Kwao ambao hukuuanza leo ila jua ya kwamba Ukimya wao una Kishindo Kikubwa kitakachokuwa na Madhara makubwa kwa hii Huduma yako.
Mwamposa huyo Kiongozi wa Serikalini anayekupa hiki Kiburi chote na hizi Jeuri zote atakuponza na labda hujajua au hujui Nguvu ya Kanisa Katoliki ndani ya Taifa hili la Tanzania.
Ulichokifanya hasa kwa Kuweka Spika zako Kubwa mpaka Jirani na ilipo Hospitali ya Masista Kawe ambako hapo hapo kwa sasa Kanisa Katoliki lina Ukumbi wake na hata Maombi ya Mkesha wa Kuukaribisha mwaka mpya wa 2023 unafanyika.
Mfano kwa Spika Kubwa uliyoziweka na Sauti Kubwa inayosikika sasa Waumini wa Kanisa Katoliki Kawe hawatoweza Kusikilizana au hata Ibada kuwa ya Masikilizano.
Lakini pia hata Wakazi wa Kawe nao kwa Usiku huu utawapa Kero ( Noise Pollution ) kwa Spika Kubwa uliyoziweka na Sauti Kubwa iliyopo sasa na tunajua hujali kwakuwa Unalindwa na pia Unakula na Wakubwa wanaokupa hii Jeuri uliyonayo.
Namalizia kwa Kukuonya Mwamposa kuwa Cheza na Wote ila siyo Kanisa Katoliki nchini Tanzania na usiwaone wako Kimya kwa huu Uchokozi wako wa Kimakusudi Kwao ambao hukuuanza leo ila jua ya kwamba Ukimya wao una Kishindo Kikubwa kitakachokuwa na Madhara makubwa kwa hii Huduma yako.