Mnanizungumziaje wakuu?

Mnanizungumziaje wakuu?

Mwita25

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
3,831
Reaction score
1,173
Ukiulizwa unielezee japo kwa maneno matano utasema nini? Mtazamo wako uzingatie kipindi hiki cha miezi 8.5 ambacho nimekuwa ndani ya JF. Lakini hata kwa wale tunaofanya nao ofisi moja nao pia wana uhuru wa kutoa maoni yao juu yangu.
 
Hii thread isipopata wachangiaji naapa kujitoa JF na wala hamtaniona tena.
 
Miezi 8.5 Post 3774? JF imekuwa Office yako? je ukitimiza 12 month utakuwa na post ngapi? nataka kujua kwa siku, week na mwezi una post ngapi?

Na vilevile ulikuwa unatumiwa na Magamba ulipoanza kuingia hapa Jf sasa vipi uhusiano wako na Nape? Na ni kitu gani kilichokufanya ukaasi kwenye genge la Magamba?

Ni hayo tu maswali ya yangu kwa leo Kijana
 
a ..................man who doesn't know anything'
 
Hii thread isipopata wachangiaji naapa kujitoa JF na wala hamtaniona tena.

Kwani kujitoa wewe hapa JF ndio itakufa? Ukijitoa usijitoe ni wewe tu, una uhuru wa kufanya lolote ili mradi usivunje Sheria za JF
 
Miezi 8.5 Post 3774? JF imekuwa Office yako? je ukitimiza 12 month utakuwa na post ngapi? nataka kujua kwa siku, week na mwezi una post ngapi?

Na vilevile ulikuwa unatumiwa na Magamba ulipoanza kuingia hapa Jf sasa vipi uhusiano wako na Nape? Na ni kitu gani kilichokufanya ukaasi kwenye genge la Magamba?

Ni hayo tu maswali ya yangu kwa leo Kijana

Nimekuelewa kuwa unamaanisha nimepost vitu vingi ukilinganisha muda niliokuwepo JF kitu kinachokupa wasiwasi kuwa sina kingine cha kufanya zaidi ya kuingia JF siyo? Sidhani kama swali lako lina mantiki (na) hasa ukinilanganisha na watu kama FF, AshaDii.
Swali lako la pili sijaelewa unauliza uhusiano wangu na Nape wa kiitikadi au wa ki-undugu?
 

Kwani kujitoa wewe hapa JF ndio itakufa? Ukijitoa usijitoe ni wewe tu, una uhuru wa kufanya lolote ili mradi usivunje Sheria za JF

Nimekuwa mstaarabu sana kuchukua muda wangu kukujibu swali lako la hapo juu.
 
Nimekuelewa kuwa unamaanisha nimepost vitu vingi ukilinganisha muda niliokuwepo JF kitu kinachokupa wasiwasi kuwa sina kingine cha kufanya zaidi ya kuingia JF siyo? Sidhani kama swali lako lina mantiki (na) hasa ukinilanganisha na watu kama FF, AshaDii.
Swali lako la pili sijaelewa unauliza uhusiano wangu na Nape wa kiitikadi au wa ki-undugu?

Ulivyoingia JF uliingia kama Mfanyakazi wa magamba, kuhakikisha Watanzania wazalendo hawaizungumzi vibaya Chama Cha Mahayawani i mean Magamba company. Wewe na wenzako mlikuwa mnapinga sana hoja zinazotolewa na Members wanaouchukia Ufisadi hasa uliojaa kwenye Serikali ya Fisadi Dr Dr Dr. Mwanajeshi Mstaafu, Rais wa NEC, Professor to be, Alhaji Kikwete. Sasa ilikuwaje ukarofishana na Nape?

 
Ukiulizwa unielezee japo kwa maneno matano utasema nini? Mtazamo wako uzingatie kipindi hiki cha miezi 8.5 ambacho nimekuwa ndani ya JF. Lakini hata kwa wale tunaofanya nao ofisi moja nao pia wana uhuru wa kutoa maoni yao juu yangu.

You mean Ritz, Omr, Rejao, FF n.k.? Kwa upande wangu honestly nakuona Kigeugeu!
 
ni kijana aliekuwa na akili nzuri mpaka mwanzoni mwa mwaka 1995 alipokuwa anamaliza form four lakini pale alipovuta bangi siku ya graduation ndipo akili yake ilipokaa tenge na kuwa mbovu hadi leo!
 
An intriguing member, vigumu sana kukuelewa.
But you seem honest to me, which is rare in JF.
I smile every time I read you, even when you are mean to me.
 
Frankly speaking..mwita my brother we mmbea..hata sijui unaofanya nao kazi inakuaje... (Hii comment ilikua niandike kuleee kwa thread ya malalamiko ya Lizzy bahati mbaya RR ameifunga)
yani umenikwaza!! am very revengeful nakutaftia siku saa na tarehe ila sijajua itakua ni lini...(Ni mtazamo wangu huu juu yako)


mbona ime editiwa hii comment??? i hate this!
 
Ukiulizwa unielezee japo kwa maneno matano utasema nini? Mtazamo wako uzingatie kipindi hiki cha miezi 8.5 ambacho nimekuwa ndani ya JF. Lakini hata kwa wale tunaofanya nao ofisi moja nao pia wana uhuru wa kutoa maoni yao juu yangu.
Mimi nakuchukulia kama Zinduna anavyowachukulia wanaume.
 
An intriguing member, vigumu sana kukuelewa.
But you seem honest to me, which is rare in JF.
I smile every time I read you, even when you are mean to me.

Kuna wakati mwingine hata watu wa familia yangu huwa wananishangaa kwa vitendo vyangu vya ajabu ajabu. Lakini wamefikia kukubali kuwa kila binadamu ana makosa yake. Kinachotutofautisha ni kwa jinsi gani tunafanya udhaifu wetu uonekane kwa wengine.
 
Ukiulizwa unielezee japo kwa maneno matano utasema nini? Mtazamo wako uzingatie kipindi hiki cha miezi 8.5 ambacho nimekuwa ndani ya JF. Lakini hata kwa wale tunaofanya nao ofisi moja nao pia wana uhuru wa kutoa maoni yao juu yangu.

Kwa kipindi ulicho kaa kwa kuipigania magamba kama hujajenga kibanda chako bora ujitoe
 
Frankly speaking..mwita my brother we mmbea..... (Hii comment ilikua niandike kuleee kwa thread ya malalamiko ya Lizzy bahati mbaya RR ameifunga)


yani umenikwaza!! am very revengeful nakutaftia siku saa na tarehe ila sijajua itakua ni lini...(Ni mtazamo wangu huu juu yako)

Tusameheane mkuu
 
ukiulizwa unielezee japo kwa maneno matano utasema nini? Mtazamo wako uzingatie kipindi hiki cha miezi 8.5 ambacho nimekuwa ndani ya jf. Lakini hata kwa wale tunaofanya nao ofisi moja nao pia wana uhuru wa kutoa maoni yao juu yangu.

unaonekana ni mume unayekumbana na tibwili la asha ngedere nyumbani kwako na ndoa yako ni ndoa ndoano ambayo inakufanya muda wote ujikeep bize na computer yako kuliko kuwahi home. Pole
 
unaonekana ni mume unayekumbana na tibwili la asha ngedere nyumbani kwako na ndoa yako ni ndoa ndoano ambayo inakufanya muda wote ujikeep bize na computer yako kuliko kuwahi home. Pole

Kwanini umesema hivyo Happy?
 
Back
Top Bottom