Mnamuona Hamisi Kigwangalla anavyozunguka huko maporini?

Mnamuona Hamisi Kigwangalla anavyozunguka huko maporini?

...gharama za hizo ziaraaaa..nawaza tuuu....anatakiwa akikamilisha atoe ripotiii nadhani itakuwa kubwa ka kitabu cha kusadikikaaa
 
Akikaa ofisi...maneno akienda field maneno...!!? Vipi ninyi !?

Nimeisha pata sababu nikipewa nafasi ya kuongoza...mimi washauri wangu wakuu watakuwa ni vitabu vya miiko ya uongozi, majukumu ya kiuongozi kulingana na kazi nitayopewa, kanuni taratibu, ilani ya Chama kitakachokuwa madarakani, sera, mipango ya serikali ya muda mrefu na muda mfupi, sheria za nchi, na Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Kitabu kitukufu cha Imani yangu baaasi!!!. Yaani sisikilizi cha mtu labda wale tu watu maalumu kwa ajiri ya kunishauri tena kwenye utaratibu maalumu. Yaani baadhi ya watanzania (kama siyo wapinzani wetu wa kimaendeleo wa ndani na nje ya nchi), mnachosha.


One extreme does not justify the other.

Aliyefunga choo na anaye harisha wote ni wagonjwa!
 
Huyu jamaa ni muda wa mwezi sasa, kila siku kwenye taarifa ya habari ni ziara zake katika hifadhi na mapori mbalimbali huku akiwa katika magwanda ya maliasili.
Ni wakati sasa wa kumpa credit zake, japo nae kazidisha sana makamera.
Hapa kazi tu achana na kelele za chura
 
Hawezi zunguka bure hata siku moja, labda angekuwa anamtafuta mwanae amepotelea humo porini.
Tuwe makini na viwanja vyetu vya ndege wanyama wasipitishwe tena.
 
Huyu jamaa ni muda wa mwezi sasa, kila siku kwenye taarifa ya habari ni ziara zake katika hifadhi na mapori mbalimbali huku akiwa katika magwanda ya maliasili.
Ni wakati sasa wa kumpa credit zake, japo nae kazidisha sana makamera.
Huyu hapa yupo simiyu leo
FB_IMG_1532161919268.jpg
 
Usishangae akimaliza hizo ziara zake anakuja kutumbuliwa kisa anazunguka na kula misele tuu huku "MBWA" wa polisi wakipotea na waziri anaanza kusumbuka kumtafuta huku yeye wa maliasili anatalii!
Tarime Mkurungezi anagoma kuapisha mawakala wa Chadema. Inasikitisha uhuni huu unaoendelea kwenye nchi.
Hakuna tena uchaguzi katika nchi hii maana tunaoshindana nao hawawezi tena kushinda kwa wananchi.
 
Back
Top Bottom