Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,573
- 2,091
Sahihi kabisa ila mpeleke taratibu mwenzio.Naka ndio mimi bwana mwingine atakuwa wa mchongo
Sahihi kabisa ila mpeleke taratibu mwenzio.Naka ndio mimi bwana mwingine atakuwa wa mchongo
Hahahah! Poa.Hahah ntapunguza mkuu
Naam wahuni ndo tulivo ....no time to wasteWakulungwa tumeshaelewa nini kimeshatokea maana formula ni ile ile. Hatukai na mademu wasumbufu. Yaani me unizungushe penzi miezi mwaka halafu unigande wa kazi gani.....
Hiyo ilikuwa zamani. Msumbue mwanaume ukijijua ni bikra ila kama si bikra then unazungusha ya kazi gani. Si ni bora umwambie tu mtu kuwa haiwezekani apambane na mambo mengine kuliko kumpigisha chenga za kitoto.
Me ukinikata stimu na story za mapozi nakupotezea hapo hapo nakuacha upambane na hali yako.
Ndo maana nkasema huwa mnatoa simu km kichaka ili muaminike msifwatiliweeBinadamu tuna hali ya kupenda kutafta vile vinavyo fichwa tu.
Mm sijaoa ila nilipokuwa na mahusiano nikionana na bby wangu akishika sim tu hapo hapo na mwambia password zote za kila sehemu panapoitaji password kupaaccess.
Tukiwazui kushika sim zetu ndio tutawatengenezea hofu zaid
Zaman baada ya ule msala alinifuatilia kwa umakini Sana, nikamtumia mamluki wakamuaminishe kua tushaachana. Mamluki wakafanya kazi yao vyema sana.Inashikwaje na mtu sasa...hata wife aache bwana
Akija kutana na heka heka za ma j atamlaumu nani wakat sim si yake
Sahii kabisa, wapunguze ila usiwashaur waache.Mkuu makasiriko hayatanisaidia lolote...
Nawaambia tu vijana wapunguze kwasababu kuacha hawawezi
Ha ha ha....Kubwa la maadui.
Mpaka hapa sema nini..!! punani imesagwa. Pale pa kupaacha pafuteYule nimemkamata ndindindi
Hana pa kutokea...yani yule kuku ni wangu sema tu anafugwa kwa jirani
Punani yake anasema kianzio laki mbili🤣🤣🤣Punani yako ni mnato? Nikatoe pesa bank weeknd hii tuanze bata ijumaa-j2