Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,781
- 20,955
- Thread starter
- #101
Wanawake wa ndoa mumjengee huyu mkuu sanamu pale ubungo kwenye kijazi interchangeBinafsi
Simu yangu mke wangu kuishika ruksa, ni vile tu naona imani yake kwangu kubwa haigusi gusi hovyo labda awe na shida ya muhimu, mimi na mke wangu hakuna limitations kwenye simu zetu, yake iliharibika, nimempa ya kwangu, so natumia kiswaswadu, hivyo JamiiForums na huduma chache natumia simu yake. Mke wangu ni sehemu ya mwili wangu, hakuna kufichana, nikiwa nina deni atajua, nimetusua sehemu ajue, huku kuficha ficha ndio unatengeneza ufa, watu tumetofautiana binafsi nilipoamua kuoa, nikaacha mambo yoote ya kiduwanzi, hivyo simu yangu kuwa wazi kwake naona ni hatua njema kuzidi kujilinda na vishawishi, maana uwongo mbaya kuna kipindi "akili za nyege" zinataka utende jambo, ukizembea utatenda kweli.