DAMISO DMI
New Member
- Sep 23, 2017
- 1
- 3
Chuo cha bahari( Dar es salaam Maritime Institute) kinachotoa kozi za unahodha wa meli na uhandisi meli kinapenda kuwakaribisha wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza katika muhula wa masomo wa mwaka 2017/2018.Pia chuo kimeongeza moja ya kozi ili kupanua wigo katika sekta ya bahari ambayo ni Bachelor of logistics and shipping. TUNAWAKARIBISHA WOTE. ASANTE SANA