Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Delete this post Nimepost kimakosa
Yaani majitu yanayoamini uchawi bhana kwahyo umeandika hatimae simu imekuumbua imepost yenyewe tushakujua unaandaa tangazo la mganga na bahati mbaya humu tuna mganga wetu maarufu Mshana Jr nyie wengine mtuache nyie ni waganga fekiDelete this post Nimepost kimakosa
Tafuta mganga mzuri binti utasahau shida zote.Hatuendagi kwa waganga maana YESU ndiye mwanzo na mwisho
Imeandikwa kwenye Biblia kuwa, hakuna uchawi katika Israel Wala uganga katika Yakobo
Haiwezi kuwa deleted.Tunazingatia mawazo yako kuhusu ulozi,uganguzi na upashkuna.Delete this post Nimepost kimakosa