Mnadeal vipi na mwanamke mfujaji?

Mnadeal vipi na mwanamke mfujaji?

You have a point ila sio mambo ya kulalamika in such a bitchy tone. Address the issues kwa kuongea nae tu kawaida. Na sio vyote kuna ambavyo ni sensitive zaidi ila never speak of food katika yote.

Perhaps, bills and resources that are merely going into waste. Huenda hajawahi kufundishwa jinsi ya ku manage resources toka akiwa mdogo huyo manzi ama ni ugonjwa wa uzembe tu. Its a pain in the a$$ kwa kijana anaestruggle to make ends meet but huenda kwa baba yake vyote vilikuwa available effortlessly. Ni kuongea nae tu kama habadiliki atampata wa kufanana nae.
Ndicho nilichomshauri mtoa mada kuwa huyo amezoea kujiachia ni suala tu la kumfundisha. Mjifunze mnapolea watoto wenu hata kama mnavyo vyote wafundisheni kuwa na nidhamu. Sisi kwetu maji ya bwerere ila baba alikuwa anatugombeza sana akikuta tumefungulia mimaji inatiririka bila sababu, au ulikinga chombo kimejaa ila hujawahi kwenda kufunga anaweza hata kukuzaba kibao nikawa nashangaa huyu mzee maji yanamuuma nini wakati hata hayalipiwi bili? Sasa hivi ndio namuelewa
 
Personally sioni maana ya kumsema mtu akila, thats the only task every human being was created for. Tupo duniani ili tuishi na msosi ndio mafuta yenyewe ili mwili uwe na nguvu na hakuna kiwango maalum.
Wewe msikilize tu huyo Daby kuna siku humu alilalamika mtu alikula kopo zima la nini sijui ile
 
Hahaha tatizo najiangalia mimi bajeti yangu vile inakuwaga kali, nakumbuka siku za nyuma nilikuwaga nanunua samaki kilo tatu hiyo bajeti ya mwezi mzima, ukija na njaa njaa zako za kula kilo nzima kwa mara moja utanikwaza walah.
Sio uchoyo nadhani ni ubahili, mchoyo ye anakula mwingine anamfanyia mtima nyongo

Bajeti ikiwa kali sana napo ni uchoyo inabidi kubalance mambo tu
Kama pesa ya kula ipo acha watu wale mi nimekaa na aunt yangu muda mrefu hajawahi nibania chakula na ananipa pesa nihemee vyakula navyotaka mimi
Kanifundisha vitu vingi sana kwa roho yake
 
Za siku,well.ishu ni hiv,..mdada ni extravagant
1.akioga bafuni nadhan ni tank nzima ya maj anamaliza.anaoga masaa 3(chumvi hii)..ila anaweza achia bomba inamwaga maj had unajiuliza,hiv haya maj si nalipia lakin
2.akinyoosha au akifua unaweza ona kawasha pasi inakaa hata nus saa ndo anakumbuka kua kumbe anapasi.hiv mi si nalipia luku.anaweza fua masaa mashne inazunguka tuu anarudiaa et anataka nguo ingae
3.dem anamaliza sabun huyu dah akiosha vyombo
4.akikaanga kuku sasa au samak,yan kama ni kuku wawil kwenye fridge atakaanga na kula wote,yaan akija jmos had jpil kuku wote kwenye fridge wameisha

Kilichopelekea kuandika uzi,ni kwamba nmekuta kawasha gas ,inatoka tuu bila moto.af hata hajajuaa..naskia tuu xiiiii.na haruf nauliza hyo si gas inatoka et yuko heee,et alitaka hemsha maji..

Kiukwel nmekereka kama nimwambie aondoke mda huu...hata ham ya kugegeda imetoka

Uzi tayar
Hahahahah huyo ndo wife matirio
Naye si ajua kaja kutumika kingono acha ajimwayemwaye
Mwanaume majukumu Babu weeh
Ukizingatia ukimchoka utamtema kama msemavyo na kuoa mwingine nadhani yuko sawa kabisa
 
Pacha, tatizo linaweza kuwa hata sio vitu, tatizo ni tabia ya mtu kutojali. Leo tuko kwenye maji na sabuni kesho itakuwa kitu kingine, let's say mtu anawasha gari then anaenda kuoga anaacha inaunguruma, au mtu anawasha gas anaiacha inaendelea kutoka huoni kwamba inaweza kusababisha hatari kubwa? Na mwisho maisha huwa yanabadilika, leo hii una vijisenti unaweza kuona maji kumwagika bila sababu sio big deal kwa kuwa hau-struggle kulipa bill lakini zinaweza kuja nyakati mbaya kila shilingi mia inayoongezeka kwenye bill inakuongezea maumivu sasa kama mlizoeshana kuishi namna hiyo si ndio mwanzo wa kukimbiana halafu mnaanza kulaumu kumbe maradhi mnafuga wenyewe.
Hata kama vitu vipo kwa wingi nidhamu muhimu
Naona wife material umeshusha ka topic kidogo kuhusu bajeti[emoji16][emoji16]
 
Wewe msikilize tu huyo Daby kuna siku humu alilalamika mtu alikula kopo zima la nini sijui ile
Sikulalamika kula..nililalamika kula na kubakiza.

Ni sawa na kutumia jagi kunywea soda kisha unaibakiza ndani ya jagi.

Nani aje aimalize wakati wewe unaondoka leo leo.

Ila kama utaweza kuimaliza ni kheri.
 
Naona wife material umeshusha ka topic kidogo kuhusu bajeti[emoji16][emoji16]
Anakemea ufujaji vitu vya ndani ila kuomba hela na kuwatupia vijana matatizo yao ya kifedha wanaona sawa!
 
Hahaha tatizo najiangalia mimi bajeti yangu vile inakuwaga kali, nakumbuka siku za nyuma nilikuwaga nanunua samaki kilo tatu hiyo bajeti ya mwezi mzima, ukija na njaa njaa zako za kula kilo nzima kwa mara moja utanikwaza walah.
Sio uchoyo nadhani ni ubahili, mchoyo ye anakula mwingine anamfanyia mtima nyongo
Kilo 3=3000g
30 days
100g per day!
Wewe utaua watoto,sio kwa ubahili huu.
 
Naona amepata fursa.
Unafuga mnyama asiyeliwa wala kufugika Brother.
Anajaribu kutikisa kiberiti chako kama kimejaa maana muda akihisi kimepungua anaenda kwa jirani kuomba.
Ishia naye nyumba za kulala wageni kama bado unampenda
 
Bajeti ikiwa kali sana napo ni uchoyo inabidi kubalance mambo tu
Kama pesa ya kula ipo acha watu wale mi nimekaa na aunt yangu muda mrefu hajawahi nibania chakula na ananipa pesa nihemee vyakula navyotaka mimi
Kanifundisha vitu vingi sana kwa roho yake
Sio bajeti kali, ni ya kawaida tu kulingana na uchumi
 
No nimejiongeza ili nijue kama bajeti hio inafika RDA....utaua watoto
RDA ni nini? Lakini sijasema ndio principle yangu, inategemea na uchumi wa wakati huo na idadi ya watu. Kama uchumi unaruhusu mtu mmoja kula kilo nzima na wale tu
 
RDA ni nini? Lakini sijasema ndio principle yangu, inategemea na uchumi wa wakati huo na idadi ya watu. Kama uchumi unaruhusu mtu mmoja kula kilo nzima na wale tu
Required Dietary Allowance.....per day. haitakiwi kilo nzima per day
 
Wengine ukiwaelekeza wanakasirika. Nimewahi kuishi na mtu wa hivyo kwangu,anaweza akatenga maji ya kuoga kwenye gas yanachemka na haendi kuoga. Uzuri gas ilikua inakaribia kuisha. Sikununua nyngne mpaka alivyoondoka. Wanakera sana watu wa aina hii
 
Mbona simple tu anza kwenda sokoni mwenyewe kama wapemba na ukifua nguo hakikisha unahifadhi vizuri mapovu ya kufulia siku zinazofuata na akizingua ni kipigo hadi achakae
Za siku,well.ishu ni hiv,..mdada ni extravagant
1. Akioga bafuni nadhani ni tank nzima ya maji anamaliza. Anaoga masaa 3(chumvi hii)ila anaweza achia bomba inamwaga maji hadi unajiuliza hivi haya maji si nalipia lakini?

2. Akinyoosha au akifua unaweza ona kawasha pasi inakaa hata nusu saa ndo anakumbuka kuwa kumbe anapasi. Hivi mimi si nalipia luku? Anaweza fua masaa mashine inazunguka tu anarudiaa eti anataka nguo ing’ae

3. Anamaliza sabuni akiosha vyombo

4. Akikaanga kuku sasa au samaki, yaani kama ni kuku wawil kwenye fridge atakaanga na kula wote. Yaani akija J’mosi hadi J’pili kuku wote kwenye friji wameisha

Kilichopelekea kuandika uzi ni kwamba nimekuta kawasha gesi inatoka tu bila moto halafu hata hajajua. Nikawa nasikia tu “xiiiii” na harufu. Kuuliza hiyo si gas inatoka? Eti yuko heee alitaka chemsha maji..

Kiukwel nmekereka kama nimwambie aondoke muda huu. Hata hamu ya kugegeda imetoka
 
Back
Top Bottom