woiiii 😂😂😂Mtimue tena fukuza fasta bila kumpepesea macho. Sio mara zote mvumilivu hula mbivu ila hukosa kabisa muda mwingine. Fukuza kabisa nyambafuuu...
Bajeti inamaana gani kama haujashiba? Nadhani kula ni kuridhika hapa sasa nimeshiba.....Mkuu sidhani kama ni uchoyo, kupangilia budget muhimu. Lakini alitakiwa pia amwambie mwenzie kwamba hao kuku tumia mmoja huwenda mwenzie huwa anafikiri wameandaliwa kwaajili yake
Hahahah ila tu sio vyema kumsema mtu kwa maswala ya misosi bby, mtu ana njaa muache ale huenda hajatumia Albendazole mda mrefu labda minyoo imezidi. Ale tu akimaliza utanunua vingine, afterall unamfanyia vetting bado, kama unaona huendani na kasi yake anakula nyekundu ya bibi😀😀😀😀😀😅😅😂😂😂😂😂Mkuu sidhani kama ni uchoyo, kupangilia budget muhimu. Lakini alitakiwa pia amwambie mwenzie kwamba hao kuku tumia mmoja huwenda mwenzie huwa anafikiri wameandaliwa kwaajili yake
Personally sioni maana ya kumsema mtu akila, thats the only task every human being was created for. Tupo duniani ili tuishi na msosi ndio mafuta yenyewe ili mwili uwe na nguvu na hakuna kiwango maalum.Bajeti inamaana gani kama haujashiba? Nadhani kula ni kuridhika hapa sasa nimeshiba.....
Hahaha umeona ehh, thats not a manly attitude. Naweza connect huu ulalamishi na roho ya kimaskini tu. You can not raise arguments kuhusu mpenzi anakula sana and shit!😆😆😆Una gubu....unamind vitu vidogo sana
Ubahili ndio kigezo namba moja nilichotumia kwa huyu bidada nilie nae
You have a point ila sio mambo ya kulalamika in such a bitchy tone. Address the issues kwa kuongea nae tu kawaida. Na sio vyote kuna ambavyo ni sensitive zaidi ila never speak of food katika yote.Pacha, tatizo linaweza kuwa hata sio vitu, tatizo ni tabia ya mtu kutojali. Leo tuko kwenye maji na sabuni kesho itakuwa kitu kingine, let's say mtu anawasha gari then anaenda kuoga anaacha inaunguruma, au mtu anawasha gas anaiacha inaendelea kutoka huoni kwamba inaweza kusababisha hatari kubwa? Na mwisho maisha huwa yanabadilika, leo hii una vijisenti unaweza kuona maji kumwagika bila sababu sio big deal kwa kuwa hau-struggle kulipa bill lakini zinaweza kuja nyakati mbaya kila shilingi mia inayoongezeka kwenye bill inakuongezea maumivu sasa kama mlizoeshana kuishi namna hiyo si ndio mwanzo wa kukimbiana halafu mnaanza kulaumu kumbe maradhi mnafuga wenyewe.
Hata kama vitu vipo kwa wingi nidhamu muhimu
😅😅😅😅😅😅Huyo ni mkeo? Seriously una mind maji? Sabuni? Mimi hata sijui kama huwa wanatumia maji au sabuni coz ni negligible
Hizo ndio gharama zake kamanda, watoto wenye matako makubwa si tunawaambiaga akili zao ni bi-product ya misosi wanayokula mkuu. Enjoy the booty stop complaining, you reap what you sow!😆😆😆Kupenda ni ishu nyingne dada,skuhiz tunaish tuu kusegeza siku,mapenz ya kwel hakuna,namtaman tuu sabab mzur ana msambwanda
😂😂😂😂😂😂 ole wako!!![emoji23][emoji23][emoji23] unanijaribu...ila umezidisha sana hadi inaonekana kabisa haupo serious, ungetaja kilo 2 - 5 ungeniona saa kumi na mbili asubuhi
Unajibebesha chakula kabisa sio😅😅😅Mi ndio mana siendagi kwa mtu bila chochote mkononi...mana unaweza fanya kitu ukaonekana una matumizi mabaya..
Kikubwa awe anakula na kumaliza alichopika sio apike kisha amwage....Hahaha umeona ehh, thats not a manly attitude. Naweza connect huu ulalamishi na roho ya kimaskini tu. You can not raise arguments kuhusu mpenzi anakula sana and shit![emoji38][emoji38][emoji38]
Yeah kama anakula kuku mzima na kuacha mifupa tu. Huyo hana shida mbaya tu asitupe msosi.Kikubwa awe anakula na kumaliza alichopika sio apike kisha amwage....
Kama anamaliza insmaana ongeza bajeti haiwatoshi.
Utashiba kuku peke yake? Kama una njaa sana si upike na kingine mfano ugali, wali, ndizi n.kBajeti inamaana gani kama haujashiba? Nadhani kula ni kuridhika hapa sasa nimeshiba.....
Hahaha tatizo najiangalia mimi bajeti yangu vile inakuwaga kali, nakumbuka siku za nyuma nilikuwaga nanunua samaki kilo tatu hiyo bajeti ya mwezi mzima, ukija na njaa njaa zako za kula kilo nzima kwa mara moja utanikwaza walah.Ha
Hahahah ila tu sio vyema kumsema mtu kwa maswala ya misosi bby, mtu ana njaa muache ale huenda hajatumia Albendazole mda mrefu labda minyoo imezidi. Ale tu akimaliza utanunua vingine, afterall unamfanyia vetting bado, kama unaona huendani na kasi yake anakula nyekundu ya bibi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]