Mnadeal vipi na mwanamke mfujaji?

Mnadeal vipi na mwanamke mfujaji?

Sawa mkuu.

Kesho karibu Kivule. Nimekuandalia sangara wa kilo 20.
[emoji23][emoji23][emoji23] unanijaribu...ila umezidisha sana hadi inaonekana kabisa haupo serious, ungetaja kilo 2 - 5 ungeniona saa kumi na mbili asubuhi
 
Kupenda ni ishu nyingne dada,skuhiz tunaish tuu kusegeza siku,mapenz ya kwel hakuna,namtaman tuu sabab mzur ana msambwanda
Unalalamikia kuku wawili huku unapenda msambwanda, huko ndo kuhudumia ndugu yangu
 
Achilia mbali Maji sabuni ni vitu vidogo, sio vya kuleta humu Jf. Sio vizuri kutokuwa makini na gesi hayo ni matumizi mabaya.
Hii ishu ni minor ongea nae atabadilika.
 
Pacha, tatizo linaweza kuwa hata sio vitu, tatizo ni tabia ya mtu kutojali. Leo tuko kwenye maji na sabuni kesho itakuwa kitu kingine, let's say mtu anawasha gari then anaenda kuoga anaacha inaunguruma, au mtu anawasha gas anaiacha inaendelea kutoka huoni kwamba inaweza kusababisha hatari kubwa? Na mwisho maisha huwa yanabadilika, leo hii una vijisenti unaweza kuona maji kumwagika bila sababu sio big deal kwa kuwa hau-struggle kulipa bill lakini zinaweza kuja nyakati mbaya kila shilingi mia inayoongezeka kwenye bill inakuongezea maumivu sasa kama mlizoeshana kuishi namna hiyo si ndio mwanzo wa kukimbiana halafu mnaanza kulaumu kumbe maradhi mnafuga wenyewe.
Hata kama vitu vipo kwa wingi nidhamu muhimu
Wewe nae wifi zako watapata tabu sana. Anyway si unamwambia tu? Mwenye gubu anafanya kama mleta mada.
 
Wewe nae wifi zako watapata tabu sana. Anyway si unamwambia tu? Mwenye gubu anafanya kama mleta mada.
Hahahaa tena wajipange. Mtoa mada ana gubu hatari, ila kwa sababu amesema hampendi sishangai. Kesho huendi sabasaba nikusindikize?
 
Hahaha, naona mmeamua kumtolea uvivu mtoa mada.
Kuna vitu mtoa mada anazingua, huwezi huwezi hesabu sabuni, au maji.

Ila shemeji naye ni careless, wewe unasahau vipi gas si hatari hiyo, au ishu za kufua nguo mara mbili kwenye mashine, labda kama mashine mbovu, lakini mara nyingi mara moja tu inatosha.
Una gubuuu khaaah!!
 
Hahaha, naona mmeamua kumtolea uvivu mtoa mada.
Kuna vitu mtoa mada anazingua, huwezi huwezi hesabu sabuni, au maji.

Ila shemeji naye ni careless, wewe unasahau vipi gas si hatari hiyo, au ishu za kufua nguo mara mbili kwenye mashine, labda kama mashine mbovu, lakini mara nyingi mara moja tu inatosha.
Hivi unaamini kabisa huo uzushi?
 
Back
Top Bottom