walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,845
- 5,687
Wala aina haja ya kumfundisha mpuuzi uyo inaonekana yupo careless sana kama ivyo vitu tu vidogo anashindwa kuwa makini je ataweza kuwa makini hata kwa vitu vyenye thamani kubwa kiufupi simshauri mleta uzi aoe hivi ndio vile vidada visistaduu ata chupi yake kufua hawezi
Huyo ni mzembe wa kupindukia...inaonesha kwao yuko peke yake, miaka yote amekaa na hausigeli na ni type ya wale watoto ambao hata akifanya madudu mzazi hamfinyi wala kumfokea. Inabidi wewe ndio uchukue jukumu la kumfundisha na kumuelekeza yote aliyotakiwa kujua tangu akiwa na miaka 10. Kila la heri mkuu