Mnadeal vipi na mwanamke mfujaji?

Mnadeal vipi na mwanamke mfujaji?

Za siku,well.ishu ni hiv,..mdada ni extravagant
1. Akioga bafuni nadhani ni tank nzima ya maji anamaliza. Anaoga masaa 3(chumvi hii)ila anaweza achia bomba inamwaga maji hadi unajiuliza hivi haya maji si nalipia lakini?

2. Akinyoosha au akifua unaweza ona kawasha pasi inakaa hata nusu saa ndo anakumbuka kuwa kumbe anapasi. Hivi mimi si nalipia luku? Anaweza fua masaa mashine inazunguka tu anarudiaa eti anataka nguo ing’ae

3. Anamaliza sabuni akiosha vyombo

4. Akikaanga kuku sasa au samaki, yaani kama ni kuku wawil kwenye fridge atakaanga na kula wote. Yaani akija J’mosi hadi J’pili kuku wote kwenye friji wameisha

Kilichopelekea kuandika uzi ni kwamba nimekuta kawasha gesi inatoka tu bila moto halafu hata hajajua. Nikawa nasikia tu “xiiiii” na harufu. Kuuliza hiyo si gas inatoka? Eti yuko heee alitaka chemsha maji..

Kiukwel nmekereka kama nimwambie aondoke muda huu. Hata hamu ya kugegeda imetoka
Pole sana baharia..

Hapo piga chini haraka iwezekanavyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hafai huyooo atakufilisi piga chini haraka sana labda kama utamu wake si wa kawaida 😜😜

Za siku,well.ishu ni hiv,..mdada ni extravagant
1. Akioga bafuni nadhani ni tank nzima ya maji anamaliza. Anaoga masaa 3(chumvi hii)ila anaweza achia bomba inamwaga maji hadi unajiuliza hivi haya maji si nalipia lakini?

2. Akinyoosha au akifua unaweza ona kawasha pasi inakaa hata nusu saa ndo anakumbuka kuwa kumbe anapasi. Hivi mimi si nalipia luku? Anaweza fua masaa mashine inazunguka tu anarudiaa eti anataka nguo ing’ae

3. Anamaliza sabuni akiosha vyombo

4. Akikaanga kuku sasa au samaki, yaani kama ni kuku wawil kwenye fridge atakaanga na kula wote. Yaani akija J’mosi hadi J’pili kuku wote kwenye friji wameisha

Kilichopelekea kuandika uzi ni kwamba nimekuta kawasha gesi inatoka tu bila moto halafu hata hajajua. Nikawa nasikia tu “xiiiii” na harufu. Kuuliza hiyo si gas inatoka? Eti yuko heee alitaka chemsha maji..

Kiukwel nmekereka kama nimwambie aondoke muda huu. Hata hamu ya kugegeda imetoka
 
Ana mtindio wa ubongo, si mfujaji.
Muangalie hao wadada mnaowaokota barabarani bila kujua historia zao.
 
Mkuu pole sana yani kwa jinsi nilivyokasirika nimeshindwa kusoma ata komenti za watu utafikir ndo mimi kanifanyia ushubwada uo piga chini uyo sio mke kabisa ni mwanamke gani ambae ajui uchungu wa mali za mpenzi wake kwanza ni hatari sana kwa iyo gesi ingekuwa kuna chanzo cha moto apo ungetokea mlipuko mkubwa sana
 
Back
Top Bottom