MMU na vijimaneno vyake

MMU na vijimaneno vyake

Kwa kifupi kanisa linahitaji wana kondoo zaidi, wachungaji wa kuwachunga wapo
amen
images
 
Mh! Umepachanganya na siasani aisee!


Ewaaah.

Hapana, siasa ni stress free.

Huku MMU ni majanga!

Mara mtu anakuja anamzini dada'ke!

Mara mtu anakuja anazini na mke wa mtu!

Mara mtu anakuja kujisifu eti kaenda na mwanamke bar kulewa kamtoroka kamwachia bill, alifikiri kuna cha bure?

Mwengine sijui ananyimwa na watu amani.

Hayo kama si Maradhi ya Moyo na Utu ni nini?

Siasa unapewa za uso na wewe unampa mtu za uso mkitoka hapo kwisha, kesho raundi nyingine. Hamna ugonjwa wa moyo wala kukimbiana na bili (gonjwa la utu).

That is my perception.
 
Hapana, siasa ni stress free.

Huku MMU ni majanga!

Mara mtu anakuja anamzini dada'ke!

Mara mtu anakuja anazini na mke wa mtu!

Mara mtu anakuja kujisifu eti kaenda na mwanamke bar kulewa kamtoroka kamwachia bill, alifikiri kuna cha bure?

Mwengine sijui ananyimwa na watu amani.

Hayo kama si Maradhi ya Moyo na Utu ni nini?

Siasa unapewa za uso na wewe unampa mtu za uso mkitoka hapo kwisha, kesho raundi nyingine. Hamna ugonjwa wa moyo wala kukimbiana na bili (gonjwa la utu).

That is my perception.

Hapo nimekuelewa sasa...ingawa....mi naona huku bana ukitaka kujiona wewe hauna shida unakuja huku! maana kuna watu wana shida za 'kijinga' mpaka unaona zako afadhali!
 
mh! kipozeo huwa hakina lifespan ndefu hivyo! #sijuiLakini
Ujue huwa kinapanda daraja ndo maana jina la kipozeo halidumu
mara nyingi unapanga kiwe kipozeo ila ukigusa unanata status inabadilika kinakua mchepuko
kinazidi kukupa mambo motomoto huduma za kiwango cha juu kabisa na raha za kukata na shoka status inabadilika kinakua kimada kinazidi kukupagawisha na kukurusha rusha kama popcorn unakiita nyumba ndogo
sasa unadhani hii process ni ya mwezi mmoja thubutuuu muulize hata Asprin na hapo hakijaenda kukuvuruga akili kwa mtaalamu
 
Tofautisha hii ni "kazi ya nje" yani ni sawa sawa na kazi yako ulioajiriwa afu na kazi binafsi uliyojiajiri mwenyewe
kazi ya kuajiriwa ndo una off na likizo baaaab
Swadaqata ES !!
basi ntatafuta Kazi ya nje ya ndani ninayo!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom