MMU na vijimaneno vyake

MMU na vijimaneno vyake

Najifunza vitu vingi sana hapa jf(Mmu) ikiwemo vijimaneno ambavyo sikuweza kukutananavyo mtaani ninapoishi, maneno hayo ni kama papuchi, mlango wa kuzimu na n.k.

Bila kupoteza mdaa ningependa kujua ni neno gani ulilokutananalo Jf especially MMU ambalo hukuwai kukutananalo mahala pengine popote bali ulikutananalo jukwani MMU.

Mwe,
JF watu wanajifunza matusi tu. Basi mi nimejifunza Dushe, kugegeda, Papuchi,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom