Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,897
- 3,705
- Thread starter
- #61
hahah!! mkuu hichi kiarabu au?Kitumbua bin mbochi
hahah!! mkuu hichi kiarabu au?Kitumbua bin mbochi
hahahah!! weutakuwa mkongwe sana humuUvinza,kuzama chumvini,kupiga deki,kuvunja kabati na kupumuliwa kisogoni.
Free P! Team kibamia, for future use,
wazo zuri kiongoziInabidi kuwe na kamusi yenye maneno kama hayo na maana zake.
PM
Mara ya kwanza kuliona nikafikiri ni bara fulani nikatamani nisafiri nikaone yaliyomo
Poa kiongozi.wazo zuri kiongozi
hii nahisi itakuwa mzigoMkia, hili ni jipya kabisa kwangu
Kweli kabisa. Ila warubuniwaji tumeshatosha. Evelyn Salt ongeza 'warubuni' tu.Mpendwa endelea kuongeza members..Kanisa bado changa linaitaji watu..Ubarikiwe sana
Kwa kifupi kanisa linahitaji wana kondoo zaidi, wachungaji wa kuwachunga wapoKweli kabisa. Ila warubuniwaji tumeshatosha. Evelyn Salt ongeza 'warubuni' tu.