Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
- Thread starter
-
- #1,021
Naomba mm usiniweke kwenye mgeni mualikwa tafadhari maana sikuiz cjui hata kuongea ukorof umeisha kwa kifup ntashindwa cha kujibu.....mie wacha nieendelee na kazi yangu ya kukufuta jasho tu
hahaha tumboo usiogope bhana
hahaha tumboo usiogope bhana
Nasubiria siku yako ukiwa unafanyiwa hot talk.Mie nakuuliza kabisa swali langu sasa hivi maana hiyo jam yake naiona.Swali:Kwanini unabadilisha sana id.....lol
Hahahahaaaa umenikumbusha mbali ujue..... Diva Beyonce embu nsaidie kumjibu uyu mtu swali lake......akishindwa kukujib atakujib hata kwa pm ni siri nzito et unazan adi kua mpole ivi mchezo....
ooh...
so sad, kuna mtu aliahidi kukudhuru kwa kisu, did he managed?
hahaha tumboo usiogope bhana
Hahahahaaaa umenikumbusha mbali ujue..... Diva Beyonce embu nsaidie kumjibu uyu mtu swali lake......akishindwa kukujib atakujib hata kwa pm ni siri nzito et unazan adi kua mpole ivi mchezo....
..........Duh JF raha, yaani huu uzi niliuona Ijumaa wakati unaanza lakini sasa hivi umefika hadi page 52 na kuna watu jinsi wanavyo-comment wangekuwa tayari washatunga kitabu kama comments zao zikikusanywa pamoja.
Kuna mdada mmoja sijui ushamfanyia interview? Siku ukifanya nae interview naweza kukesha sababu napenda kusikia vitu viwili vitatu kutoka kwake ili nimfahamu japo kiduchu.
Hongera sana miss neddy kwa kuwa mbunifu. God bless you!!
Aiseeee naomba tuongozane wote pm maana huyo wakuniambia anashinda akiangalia BBA sidhani kama nitaambiwa leo
......sio poa nikimtaja! kwani tokea miss neddy aanzishe hii hot talks ni akina nani waliofanyiwa interview?Mdada gani uyo embu nitonye
Mweeeee zile zilikua ni kelele za tembo ati.......kwanza adi nlisahau mbwembwe tu zilikua znamsumbua yulee
..........Duh JF raha, yaani huu uzi niliuona Ijumaa wakati unaanza lakini sasa hivi umefika hadi page 52 na kuna watu jinsi wanavyo-comment wangekuwa tayari washatunga kitabu kama comments zao zikikusanywa pamoja.
Kuna mdada mmoja sijui ushamfanyia interview? Siku ukifanya nae interview naweza kukesha sababu napenda kusikia vitu viwili vitatu kutoka kwake ili nimfahamu japo kiduchu.
Hongera sana miss neddy kwa kuwa mbunifu. God bless you!!