LebronWade
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,615
- 1,510
Afu tumesahau kuuliza umri wa 'shemejiii'...
Te te te te
Ukute anambeba mtu kama Capten...chezea kuendekeza dhiki weye
Mdogo wangu umenchekesha kweli ungeanza na mume wake lol....
Ila na wewe ufanye umuache mbaba/mkaka wa watu wewe ndo wa kumuacha maana hao married men hawajuagi kuacha....
Subiri na gari nyumba kabisa.Nasubiri ile gari iliyoagizwa itue na kadi niwe nayo mkononi ndo nimfungulie kamba, siwajua maisha nipe nikupe.
Hahahaaaa....wewe ni michael jordan of this thread...angalia visije catch feelings vikaanza matusi,havichelewi kulia
Nasubiri ile gari iliyoagizwa itue na kadi niwe nayo mkononi ndo nimfungulie kamba, siwajua maisha nipe nikupe.
Ha ha ha...umegundua eehhh...vimada wawili tunatoleana mapovu...
Kumbe kuwa na mume dili...
What happened to your framing nyie 'team no Free P ...'
Unawaangusha wenzio namna hiyo...
Kabla ya ku post uwe una m consult Lara 1
Wenzio 'team no free P' hawakubali kuwa kuolewa dili...
Sasa umeshaanza kuniona na mimi kimada sababu kuolewa ni dili...
Unawaangusha wenzako namna hiyo
Nasubiri ile gari iliyoagizwa itue na kadi niwe nayo mkononi ndo nimfungulie kamba, siwajua maisha nipe nikupe.
Subiri na gari nyumba kabisa.
Naona unavyotapa tapa mambo ya free p yamekujaje hapa??????
Nimekwambia ungekuwa na mume ningeanza naye namaanisha mume huna bibi, ingawa nyuma ya keybord unadai unaye kisa hujulikani hata utumie ID mia utajulikana tu.
Nyumba msingi tayari kumalizia sio shida ntamalizia mwenyewe sina haraka nayo.
Service yote ulompa 3 good years unaambulia gari...
Dhiki mbaya sana
Nataka nikupe offa ya temporary job...ujitegemee..
Maana huna haja ya kuangaika hvyo sababu ya msingi na gari...
Kama uko tayari ni PM...
Kuwa na siku njema...!
Na kama umenisoma vizuri (maana una panic)
Nimesema hivi..
Niwe na mume au sina...haibadili fact...
Unachofanya si kizuri...
Badili tabia
Naona unavyotapa tapa mambo ya free p yamekujaje hapa??????
Nimekwambia ungekuwa na mume ningeanza naye namaanisha mume huna bibi, ingawa nyuma ya keybord unadai unaye kisa hujulikani hata utumie ID mia utajulikana tu.
Masikini weee usikurupukie nimesema nasubiri ile iliyoagizwa ije sio ndicho nilichoambulia jitahidi kwenda na mtiririko usikurupuke.
Hicho nichamwisho kati ya ninavyoviitaji kwake kwa sasa ukiacha hivi nilivyonavyo, grandma nikikuorozeshea hamkawii kuniambia najiproud nitafute uone kwa macho uje uwahadithie.
mbona jukwaa la kazi kuna dada na kaka zangu wana uhitaji hata ya kujitolea ungewapa wao hio opportunityNataka nikupe offa ya temporary job...ujitegemee..
Maana huna haja ya kuangaika hvyo sababu ya msingi na gari...
Kama uko tayari ni PM...
Kuwa na siku njema...!
Sawa kabisa ulishafika 24/25 ni mda sahihi wakuwa na watu serious...Nasubiri ile gari iliyoagizwa itue na kadi niwe nayo mkononi ndo nimfungulie kamba, siwajua maisha nipe nikupe.
Nataka nikupe offa ya temporary job...ujitegemee..
Maana huna haja ya kuangaika hvyo sababu ya msingi na gari...
Kama uko tayari ni PM...
Kuwa na siku njema...!
mbona jukwaa la kazi kuna dada na kaka zangu wana uhitaji hata ya kujitolea ungewapa wao hio opportunity